CCM hujikosoa na kujisahihisha kulingana na Nyakati:- Mwenezi Makonda

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Sep 4, 2019
1,395
3,901
📌📌 MAKONDA AKIHOTUBIA MKUTANO WA HADHARA - MWANZA

"CCM ni Chama bora kwa sababu kinao uwezo wa kujikosoa, kujisahihisha na sifa ya kubadilika kutokana na mazingira. Chama kimepita katika nyakati tofauti na kinakuja na mbinu mpya, ndio maana kitaendelea kuwa madarakani."

Ndugu Paul Makonda, Viwanja vya Ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza.

Mkutano wa Hadhara wa Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo, 12 Novemba 2023.

#CCMImara
#kaziinaendelea🇹🇿
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom