Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,399
- 3,916
📌📌CCM YATOA MAAGIZO MATANO GEITA - MWENEZI MAKONDA
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu Paul Makonda amesema Chama Cha Mapinduzi kinatoa maagizo matano kwa mkoa wa Geita ambayo ni;
1 Malalamiko ya Wafanyabiashara wa Mkaa Chama Cha Mapinduzi kimemtaka Mkuu wa Mkoa kuwapokea, kuwasikiliza na kuchukua hatua za utatuzi kwa wafanyabiashara hao kwa yeyote mwenye kibali na alidhulumiwa kwa kupokonywa mikaa yake na hata usafiri wake.
2 CCM inatoa siku 4 kwa TARURA hadi kufikia siku ya Jumatano tarehe 15 Mkandarasi awepo Bwanga kaa ajili ya Ujenzi wa Stendi daladala.
3 CCM yamuelekeza Waziri wa Maji Mhe. Aweso kuweka msukumo zaidi kukamilisha utekekezaji wa mradi wa Maji Bwanga kwani tayari fedha Tsh Bilioni 1.6 zimeshatolewa.
4 CCM yailekeza REA kukamilisha uwekaji wa Taa za Barabarani katika Kata ya Bwanga.
5 CCM yaitaka TARURA kuharakisha mchakato wa Ujenzi wa Barabara katika Kata ya Bwanga Wilayani Chato.
Ameyasema hayo leo tarehe 11 Novemba, 2023 wakati aliposimama na kuzungumza na Wananchi wa Kata ya Bwanga akiwa ziarani Mkoani Geita.
#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#TunaendaNaMama
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu Paul Makonda amesema Chama Cha Mapinduzi kinatoa maagizo matano kwa mkoa wa Geita ambayo ni;
1 Malalamiko ya Wafanyabiashara wa Mkaa Chama Cha Mapinduzi kimemtaka Mkuu wa Mkoa kuwapokea, kuwasikiliza na kuchukua hatua za utatuzi kwa wafanyabiashara hao kwa yeyote mwenye kibali na alidhulumiwa kwa kupokonywa mikaa yake na hata usafiri wake.
2 CCM inatoa siku 4 kwa TARURA hadi kufikia siku ya Jumatano tarehe 15 Mkandarasi awepo Bwanga kaa ajili ya Ujenzi wa Stendi daladala.
3 CCM yamuelekeza Waziri wa Maji Mhe. Aweso kuweka msukumo zaidi kukamilisha utekekezaji wa mradi wa Maji Bwanga kwani tayari fedha Tsh Bilioni 1.6 zimeshatolewa.
4 CCM yailekeza REA kukamilisha uwekaji wa Taa za Barabarani katika Kata ya Bwanga.
5 CCM yaitaka TARURA kuharakisha mchakato wa Ujenzi wa Barabara katika Kata ya Bwanga Wilayani Chato.
Ameyasema hayo leo tarehe 11 Novemba, 2023 wakati aliposimama na kuzungumza na Wananchi wa Kata ya Bwanga akiwa ziarani Mkoani Geita.
#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#TunaendaNaMama