Mwenezi Makonda amuagiza Meya na Mkurugenzi Halmshauri ya Pangani kuhakikisha kituo cha afya cha mwenbeni kinajengwa - Pangani

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Sep 4, 2019
1,398
3,907
Akemea tabia wa Wakurugenzi kuvizia Wananchi wajichange kisha ndio kuwapelekea huduma za kijamii kama Vituo vya Afya na Shule.

Karibu wa Halmshauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda amewataka Mwenyekiti wa Halmashauri kushirikiana na Mkurugenzi kuhakikisha Kituo cha Afya cha Mwembeni kinajengwa na kuanza kutoa huduma kwa Wananchi ndani ya Mwaka huu wa 2024.

Mwenezi Makonda ametoa maagizo hayo leo tarehe 20 Januari, 2024 akiwa katika muendelezo wa ziara yake Wilayani Pangani mkoani Tanga.

Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara, Mwenezi Makonda amekemea tabia ya Viongozi hasa Wakurugenzi kuwavizia Wananchi hadi waanze kuchangishana fedha zao wenyewe kujenga zahanati au kituo cha Afya kisha wao ndio watoe fedha kukamilisha ujenzi huo.

"Hamuwezi kusema mnawachangia Wananchi wakati fedha za Serikali zinatokana na kodi ya Wananchi " Alisema Mwenezi Makonda.

Mwenezi Makonda amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi hakitasita kuchukua hatua kwa kiongozi yeyote aliyepewa dhamana ya kufanya kazi kutokamilisha wajibu wake.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee

PIA, SOMA:

Maagizo na matamko mengine ya Paul Makonda
 
Paul Makonda mdogo wangu, umeisikia kauli ya Katibu wako Mkuu kweli wa chama! Amesema uachane na hizo mambo. Wewe jikite kwenye kueneza sera nzuri za chama chako tu kwa wananchi.

Kumbuka uko kwenye awamu ya 6! Na siyo ile ya 5 uliyoipenda na kuifurahia.
 
Karibu wa Halmshauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda amewataka Mwenyekiti wa Halmashauri kushirikiana na Mkurugenzi kuhakikisha Kituo cha Afya cha Mwembeni kinajengwa na kuanza kutoa huduma kwa Wananchi ndani ya Mwaka huu wa 2024.

Mwenezi Makonda ametoa maagizo hayo leo tarehe 20 Januari, 2024 akiwa katika muendelezo wa ziara yake Wilayani Pangani mkoani Tanga.

Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara, Mwenezi Makonda amekemea tabia ya Viongozi hasa Wakurugenzi kuwavizia Wananchi hadi waanze kuchangishana fedha zao wenyewe kujenga zahanati au kituo cha Afya kisha wao ndio watoe fedha kukamilisha ujenzi huo.

" Hamuwezi kusema mnawachangia Wananchi wakati fedha za Serikali zinatokana na kodi ya Wananchi " Alisema Mwenezi Makonda.

Mwenezi Makonda amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi hakitasita kuchukua hatua kwa kiongozi yeyote aliyepewa dhamana ya kufanya kazi kutokamilisha wajibu wake.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee
Makonda uko Tanga ,muulize Waziri Ummy Mwalimu hili swali ?
 

Attachments

  • 5605126-4abc46828c59c8d9f4dbe5553af14070.mp4
    6.5 MB
Karibu wa Halmshauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda amewataka Mwenyekiti wa Halmashauri kushirikiana na Mkurugenzi kuhakikisha Kituo cha Afya cha Mwembeni kinajengwa na kuanza kutoa huduma kwa Wananchi ndani ya Mwaka huu wa 2024.

Mwenezi Makonda ametoa maagizo hayo leo tarehe 20 Januari, 2024 akiwa katika muendelezo wa ziara yake Wilayani Pangani mkoani Tanga.

Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara, Mwenezi Makonda amekemea tabia ya Viongozi hasa Wakurugenzi kuwavizia Wananchi hadi waanze kuchangishana fedha zao wenyewe kujenga zahanati au kituo cha Afya kisha wao ndio watoe fedha kukamilisha ujenzi huo.

" Hamuwezi kusema mnawachangia Wananchi wakati fedha za Serikali zinatokana na kodi ya Wananchi " Alisema Mwenezi Makonda.

Mwenezi Makonda amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi hakitasita kuchukua hatua kwa kiongozi yeyote aliyepewa dhamana ya kufanya kazi kutokamilisha wajibu wake.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee
Siku hizi tushajua tabia zako za hovyo ndiyo maana tunasusia post zako.
 
Karibu wa Halmshauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda amewataka Mwenyekiti wa Halmashauri kushirikiana na Mkurugenzi kuhakikisha Kituo cha Afya cha Mwembeni kinajengwa na kuanza kutoa huduma kwa Wananchi ndani ya Mwaka huu wa 2024.

Mwenezi Makonda ametoa maagizo hayo leo tarehe 20 Januari, 2024 akiwa katika muendelezo wa ziara yake Wilayani Pangani mkoani Tanga.

Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara, Mwenezi Makonda amekemea tabia ya Viongozi hasa Wakurugenzi kuwavizia Wananchi hadi waanze kuchangishana fedha zao wenyewe kujenga zahanati au kituo cha Afya kisha wao ndio watoe fedha kukamilisha ujenzi huo.

" Hamuwezi kusema mnawachangia Wananchi wakati fedha za Serikali zinatokana na kodi ya Wananchi " Alisema Mwenezi Makonda.

Mwenezi Makonda amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi hakitasita kuchukua hatua kwa kiongozi yeyote aliyepewa dhamana ya kufanya kazi kutokamilisha wajibu wake.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee
Hizo ni Sanaa za majukwaani tu hamna kitu
 
Back
Top Bottom