Hajaanza vyema mkuu... Kaanza kinafiki kama kawaida. Hivi hivi ndivyo aliongea akiwasifia viongozi juzi ile kumbe alipokaa aka "submit the new topic"...[/QUOH
hahaaa uko sahihi masalia hawaaminiki!
Hajaanza vyema mkuu... Kaanza kinafiki kama kawaida. Hivi hivi ndivyo aliongea akiwasifia viongozi juzi ile kumbe alipokaa aka "submit the new topic"...[/QUOH
hahaaa uko sahihi masalia hawaaminiki!
Ukidoma Sec.School mshahara 1,900,000 hii shule international au..Wakuu kama mnavyojua leo Mwigamba aliahidi kuzungumza na waandishi wa habari.... ... Nitakuwa nawaletea live kutoka eneo la tukio....... Niko hapa Premier Palace Hotel..... Mda wowote kuanzia sasa Mwigamba ataanza kuzungumza.....
Nawakilisha
====================
Mwingamba ndiyoanaingia..
Awali ya yote napenda kuongea na watanzania na wanaoipenda chadema wanaoipenda chadema na wenye imani na chadma wanao amini kuwa chadema ndiyo mkombozi wao, imani yao hiyo ni sahihi kabisa hata mimi ninaimani hiyo na wale wale wanoamini kuwa yaliyotokea juzi kuwa yataisambalatisha chadema wanakosea, chadema ni taasisi ambayo ni mjumuiko wa watu wengi wenye mitazamo tofauti, ndugu wana habari mimi ndiyo samson Mwigamba mwanachama wa chadema nilijiiunga nikiwa usa river 2004 nikifundisha ukidoma sec...machi 2012 nilichaguliwa kuwa kuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha.Mabadiliko tunayo hitaji yatapatikana kupitia chadema kama wote mjuavyo ni kiongozi pekee niliye andika makala nyingi kuliko kiongozi yoyote pamoja na kutishiwa akiwemo katibu wa bunge na baadae kukamatwa na leo hii nina kesi mahakama ya kisutu, siyo hayo tu baada ya maandamano ya mwaka 2011 mwajiri wangu aliniambia nichague moja kazi au chadema nilichagua chadema bila kujali mshahara wa 1,900,000 niliokuwa nalipwa. nilifanya hivyo kwa mapenzi yangu niliyo nayo chadema na nina amini niko sahihi..
Hajaanza vyema mkuu... Kaanza kinafiki kama kawaida. Hivi hivi ndivyo aliongea akiwasifia viongozi juzi ile kumbe alipokaa aka "submit the new topic"...
Nani kafadhiri bahasha za kaki atakazo gawa?
Ukidoma Sec.School mshahara 1,900,000 hii shule international au..
Atasema kuwa aliondolewa makao makuu kwa hila.
Atasema aliombwa kufanya kazi pale lakini mambo yakaenda ndivyo sivyo.
Atasema hakuna uhuru wa kutoa maoni. Atasema kuna ukabila na udini.
Atasema yeye ni msomi hawezi kutumika. Kisha atasema anaipenda Chadema na kambi ya upinzani na ni muumini wa mabadiliko.
Atasema anakusudia kukata rufaa. Atasema anaenda mahakamani.
Hakuna mapya!
Daima mtu anafanya kazi anyoona inamlipa. Swali langu kwa Samsoni MwigambaWakuu kama mnavyojua leo Mwigamba aliahidi kuzungumza na waandishi wa habari.... ... Nitakuwa nawaletea live kutoka eneo la tukio....... Niko hapa Premier Palace Hotel..... Mda wowote kuanzia sasa Mwigamba ataanza kuzungumza.....
Nawakilisha
====================
Mwingamba ndiyoanaingia..
Awali ya yote napenda kuongea na watanzania na wanaoipenda chadema wanaoipenda chadema na wenye imani na chadma wanao amini kuwa chadema ndiyo mkombozi wao, imani yao hiyo ni sahihi kabisa hata mimi ninaimani hiyo na wale wale wanoamini kuwa yaliyotokea juzi kuwa yataisambalatisha chadema wanakosea, chadema ni taasisi ambayo ni mjumuiko wa watu wengi wenye mitazamo tofauti, ndugu wana habari mimi ndiyo samson Mwigamba mwanachama wa chadema nilijiiunga nikiwa usa river 2004 nikifundisha ukidoma sec...machi 2012 nilichaguliwa kuwa kuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha.Mabadiliko tunayo hitaji yatapatikana kupitia chadema kama wote mjuavyo ni kiongozi pekee niliye andika makala nyingi kuliko kiongozi yoyote pamoja na kutishiwa akiwemo katibu wa bunge na baadae kukamatwa na leo hii nina kesi mahakama ya kisutu, siyo hayo tu baada ya maandamano ya mwaka 2011 mwajiri wangu aliniambia nichague moja kazi au chadema nilichagua chadema bila kujali mshahara wa 1,900,000 niliokuwa nalipwa. nilifanya hivyo kwa mapenzi yangu niliyo nayo chadema na nina amini niko sahihi..
Ameanza vyema, endelea kutujuza anasemaje zaidi ya imani hiyo ambayo watanzania wote wanaamini kwasasa!
Atasema kuwa aliondolewa makao makuu kwa hila.
Atasema aliombwa kufanya kazi pale lakini mambo yakaenda ndivyo sivyo.
Atasema hakuna uhuru wa kutoa maoni. Atasema kuna ukabila na udini.
Atasema yeye ni msomi hawezi kutumika. Kisha atasema anaipenda Chadema na kambi ya upinzani na ni muumini wa mabadiliko.
Atasema anakusudia kukata rufaa. Atasema anaenda mahakamani.
Hakuna mapya!
Watu wenye fikra finyu na wasio na hoja hukimbilia ukabila.
Naskia alipigwa jiwe ndan ya hotel
itakuwa ya 'mzee wa harambee'
Looking at it from different angle, tunaishi katika nyakati na jamii ambapo ukweli haupendwi na unaogopwa kuliko uongo. Mwigamba anaendelea kuwa positive kwa alichokifanya akiamini alichokisema alikusudia kilete positive impact kwa chama na jamii nzima. Ni kweli angeweza kuyasema ndani ya kikao as insider, lakini ya ndani hayatakiwi kutoka nje na aliona inatakiwa impact kutoka nje to make it happen ndio sababu aliamua kuongea as an outsider.
Ni muhimu kwa Chadema na wanachadema kutambua kuwa ikiwa chama kinahitaji kuingia madarakani then tegemeo ni wananchi wasio wanachama wa Chadema. Wanachama watasaidia tu kukipigia debe chama lakini kura za wanachama tu ni nyongeza ndogo sana. Kama wanachama wanaamua tu kumhukumu na kumtupa Mwigamba basi impact yake ni kubwa mno kwa wananchi (Wapiga kura) na watu wengine makini. Mwigamba kufanya kosa sio ishu, ishu ni kwanini kaamua kufanya kosa hilo???
hahahahaha kumbe chadema wamebadili hawatembei na sumu tena ni mawe
Na bado....! Punguza Hasira na hofu
Atasema kuwa aliondolewa makao makuu kwa hila.
Atasema aliombwa kufanya kazi pale lakini mambo yakaenda ndivyo sivyo.
Atasema hakuna uhuru wa kutoa maoni. Atasema kuna ukabila na udini.
Atasema yeye ni msomi hawezi kutumika. Kisha atasema anaipenda Chadema na kambi ya upinzani na ni muumini wa mabadiliko.
Atasema anakusudia kukata rufaa. Atasema anaenda mahakamani.
Hakuna mapya!
kwa hoja za hizi chadema watawafukuza wengi:
- wanachama kudai uchaguzi ufanyike.
- wanachama kudai kuondoshwa ubaguzi
- wanachama kudai uwazi kwenye chama
- wanachama kudai taarifa za fedha
- wanachama kudai mipango endelevu na siyo kuendeshwa kwa matukio
Mtandao wa Masalia ni mkubwa sana...Na mfadhili wao tumeshamjua...Hakiak hii vita hamtashinda kamwe...Tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu..