Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Chadema wamenisikitisha sana,,,,kama wanadai saimon mwigamba amekiuka katiba ya cdm,,,kwa nini waamue kujichukulia sheria mkononi na kuumpiga mwigamba.....kwakweli cdm imenikera sana ,,,,,isitoshe wamefanya hivyo mbele ya mwanzilishi wa cdm mh mtei,,,,,
Unasubiri nini kupeleka ushahidi mahakamani..
 
Wamemteka nini na wale vijana wa chadema sijui wanaitwa nani vile?!

Green guard!... Mwigulu ndie bingwa wa kuteka watu, ngoja niulizie kama yupo arusha isijekuwa keshamteka mwigamba wa watu! Si unakumbuka wale vijana wa chadema walivyotekwa na mwigulu eeeh
 
Kwi kwi kwi, haya bwana, ngoma droo sio.
 
Atasema kuwa aliondolewa makao makuu kwa hila.

Atasema aliombwa kufanya kazi pale lakini mambo yakaenda ndivyo sivyo.

Atasema hakuna uhuru wa kutoa maoni. Atasema kuna ukabila na udini.

Atasema yeye ni msomi hawezi kutumika. Kisha atasema anaipenda Chadema na kambi ya upinzani na ni muumini wa mabadiliko.

Atasema anakusudia kukata rufaa. Atasema anaenda mahakamani.

Hakuna mapya!
Kumbe we ni sheikh yahaya siku hizi? Umebaki peke yako na ndumba, mfa maji wewe
 
Green guard!... Mwigulu ndie bingwa wa kuteka watu, ngoja niulizie kama yupo arusha isijekuwa keshamteka mwigamba wa watu! Si unakumbuka wale vijana wa chadema walivyotekwa na mwigulu eeeh


Hakuna nimemuona hapa LAPF MELIMIUM TOWER alikuwa anachukuwa pesa kwenye ATM!!!.
 
Mwigamba hakawii kusema hata yale mabomu ya mwigulu, chadema walijirushia wao na ushahidi anao....kutumika kubaya sana
 
Wakuu kama mnavyojua leo Mwigamba aliahidi kuzungumza na waandishi wa habari.... ... Nitakuwa nawaletea live kutoka eneo la tukio....... Niko hapa Premier Palace Hotel..... Mda wowote kuanzia sasa Mwigamba ataanza kuzungumza.....

Nawakilisha

Nani kafadhiri bahasha za kaki atakazo gawa?
 
Hii si live tena,tunawekeana usiku tuu JF,baadaye kidogo!!
 
Chadema wamenisikitisha sana,,,,kama wanadai saimon mwigamba amekiuka katiba ya cdm,,,kwa nini waamue kujichukulia sheria mkononi na kuumpiga mwigamba.....kwakweli cdm imenikera sana ,,,,,isitoshe wamefanya hivyo mbele ya mwanzilishi wa cdm mh mtei,,,,,

Tatizo anayekiongoza amekosa sifa za uongozi wewe umeona wapi kiongozi mkubwa kabisa wa Chama Kikunwa kama cha CHADEMA anapigana pigana ovyo kama kijana wa mtaani vile?Natamani CHADEMA kiongozwe na Watu wenye staha za Uongozi kama Professor Safari,Arfi au Tundu Lissu.CHADEMA kinadharaulika na kuonekana kama genge la wahuni kwasababu ya mtu mmoja tu.Uchaguzi wa ndani wa Chama na hatimaye kupatikana Viongozi wapya ndio utakaosaidia kujenga taswira na muonekano mpya katika Chama kiasi cha kuwavuta hata Watu wastaarabu na wasomi wa kweli wakajitokeza hadharani kuunga mkono harakati za Chama.
 
Kwa hoja za hizi chadema watawafukuza wengi:
- Wanachama kudai uchaguzi ufanyike.
- Wanachama kudai kuondoshwa ubaguzi
- Wanachama kudai uwazi kwenye chama
- Wanachama kudai taarifa za fedha
- Wanachama kudai mipango endelevu na siyo kuendeshwa kwa matukio
 
Green guard!... Mwigulu ndie bingwa wa kuteka watu, ngoja niulizie kama yupo arusha isijekuwa keshamteka mwigamba wa watu! Si unakumbuka wale vijana wa chadema walivyotekwa na mwigulu eeeh

Buku 7 Team wanataka thread kama hizi kule kwa jangiri Lukuvi wote wamekula kona
 
hiyo taarifa bado wakuu, tunataka kumsikia je, anajipya ambalo ccm na mamluki wengine hawajawai kulisema.?
 
Kumbe we ni sheikh yahaya siku hizi? Umebaki peke yako na ndumba, mfa maji wewe
Mkuu, alichoandika Ben Saanane anajua anamaanisha nini. Hawa watu wanajua wanalofanya na haya yote hayatokei kwa bahati mbaya
 
Wamempiga wamempora simu zake na laptop pamoja na pesa.
Watu wameshamwaga damu wewe unataja kuporwa simu acha utani bhana,

Gharama ya demokrasia ni kubwa zaidi ya laptop.
 
Tatizo anayekiongoza amekosa sifa za uongozi wewe umeona wapi kiongozi mkubwa kabisa wa Chama Kikunwa kama cha CHADEMA anapigana pigana ovyo kama kijana wa mtaani vile?Natamani CHADEMA kiongozwe na Watu wenye staha za Uongozi kama Professor Safari,Arfi au Tundu Lissu.CHADEMA kinadharaulika na kuonekana kama genge la wahuni kwasababu ya mtu mmoja tu.Uchaguzi wa ndani wa Chama na hatimaye kupatikana Viongozi wapya ndio utakaosaidia kujenga taswira na muonekano mpya katika Chama kiasi cha kuwavuta hata Watu wastaarabu na wasomi wa kweli wakajitokeza hadharani kuunga mkono harakati za Chama.

Kwa akili zenu za kuunga unga mlitaka awe kama Mwenyekiti wa maccm Taifa ati!
 
Back
Top Bottom