Daima mtu anafanya kazi anyoona inamlipa. Swali langu kwa Samsoni Mwigamba
1. Nini lego na kusudio la andishi lako ukizingatia majira na nyakati ambazo CDM kinazipita kwa sasa kuelekea 2015?.
2. Wewe kama kiongozi mkubwa ndani ya chama na mwenye uwanja mpana wa kutoa hoja zako katika mazingira yoyote ambayo naamini kama kiongozi unajua lipi la kupeleka mtandaoni na lipi la kupeleka vikaoni. Unadhani andiko lako linaleta afya kwa chama cha CDM au linasambaratisha usitawi na ujenzi wa chama?.
3. Unaweza kujitofautishaje na wale mamluki wa CCM ambao wako CDM au wanataka kujiingiza CDM?.
4. Naomba kujua biograph yako. Inaweza ikawa na maana sana kulink target za adui yetu!!!!
Kakumbuka mshahara 1,900,000/= hizo ni dalili za njaa, na mwenye njaa hana miiko, wahenga walisema.Ukidoma Sec.School mshahara 1,900,000 hii shule international au..
Atasema kuwa aliondolewa makao makuu kwa hila.
Atasema aliombwa kufanya kazi pale lakini mambo yakaenda ndivyo sivyo.
Atasema hakuna uhuru wa kutoa maoni. Atasema kuna ukabila na udini.
Atasema yeye ni msomi hawezi kutumika. Kisha atasema anaipenda Chadema na kambi ya upinzani na ni muumini wa mabadiliko.
Atasema anakusudia kukata rufaa. Atasema anaenda mahakamani.
Hakuna mapya!
Daima mtu anafanya kazi anyoona inamlipa. Swali langu kwa Samsoni Mwigamba
1. Nini lego na kusudio la andishi lako ukizingatia majira na nyakati ambazo CDM kinazipita kwa sasa kuelekea 2015?.
2. Wewe kama kiongozi mkubwa ndani ya chama na mwenye uwanja mpana wa kutoa hoja zako katika mazingira yoyote ambayo naamini kama kiongozi unajua lipi la kupeleka mtandaoni na lipi la kupeleka vikaoni. Unadhani andiko lako linaleta afya kwa chama cha CDM au linasambaratisha usitawi na ujenzi wa chama?.
3. Unaweza kujitofautishaje na wale mamluki wa CCM ambao wako CDM au wanataka kujiingiza CDM?.
4. Naomba kujua biograph yako. Inaweza ikawa na maana sana kulink target za adui yetu!!!!
Buku7 njaa zitawaua..naamini utapata tu uenyekiti wa bavicha naona cv unayo ya uchaga
View attachment 118674
Kweli nyani haoni kundule...
Buku 7 kwa kubadili maneno hamfai..... Mwigulu anatembea na tindikali nyie mnageuza ni chadema! Musa mmeshampeleka india au mwigulu kaenda nae uingereza?
Kwann wewe mama yako haingiliki naye apelekewe ujinga wako?
Si mwachie aseme mwenyewe?Atasema kuwa aliondolewa makao makuu kwa hila.
Atasema aliombwa kufanya kazi pale lakini mambo yakaenda ndivyo sivyo.
Atasema hakuna uhuru wa kutoa maoni. Atasema kuna ukabila na udini.
Atasema yeye ni msomi hawezi kutumika. Kisha atasema anaipenda Chadema na kambi ya upinzani na ni muumini wa mabadiliko.
Atasema anakusudia kukata rufaa. Atasema anaenda mahakamani.
Hakuna mapya!
Ccm hamwez kwepa kifo cha Nyerere...mungu wa kuiba ruzuku,kutembea na sumu kumuua chacha wangwe
Mkuu hata buku 3 kubwa , hao ni F4F!buku 3 ndizo zinakufanya utetee hadi watembea na sumu
itakuwa ya 'mzee wa harambee'
Kwa hiyo unajisifu au....Dawa ya moto ni moto,,,tuachane na mambo yakina mama,,naamini hata hawajui kama kuna kitu kinaitwa jf,,,,tujaribu kujibishana kwa hoja,,,,lete hoja mkuu nikujibu kwa hoja,,,zilikuwa ni hasira kama zilizotumika katika kikao cha cdm arusha na kumporomoshea makonde kama tyson mh samsoni mwigamba
Daima mtu anafanya kazi anyoona inamlipa. Swali langu kwa Samsoni Mwigamba
1. Nini lego na kusudio la andishi lako ukizingatia majira na nyakati ambazo CDM kinazipita kwa sasa kuelekea 2015?.
2. Wewe kama kiongozi mkubwa ndani ya chama na mwenye uwanja mpana wa kutoa hoja zako katika mazingira yoyote ambayo naamini kama kiongozi unajua lipi la kupeleka mtandaoni na lipi la kupeleka vikaoni. Unadhani andiko lako linaleta afya kwa chama cha CDM au linasambaratisha usitawi na ujenzi wa chama?.
3. Unaweza kujitofautishaje na wale mamluki wa CCM ambao wako CDM au wanataka kujiingiza CDM?.
4. Naomba kujua biograph yako. Inaweza ikawa na maana sana kulink target za adui yetu!!!!