haranduvye
Senior Member
- Apr 4, 2013
- 161
- 27
mkuu umelala au rudi kwenye thread ya Mohamedi Mtoi ya majibu ya Mnyika kwa msaada zaidi ikishindikana kamuone daktari a'scan ubongo wako
Mkuu ficha basi ujinga Wako kidogo, mbona Una akili kama mtoto wa kike wa darasa la sita anayetongozwa na kukubali kutiwa mimba kwa sahani ya chips mayai!!!! Hivi kwa akili yako ndogo tu kile alichojibu mnyika ndio sahihi na ukweli?? Je na kile alichijibu Slaa kwa suala hilo hilo ambapo majibu yake yanatofautiana na mnyika, wewe unapenda kuamini kipi au unataka sisi tumuamini nani Kati ya hao!