Jamaa alipigwa sana na vijana wa Chadema.
Jamaa alipigwa sana na vijana wa Chadema.
Mwigamba ana hoja ! CHADEMA inaendeshwa Kidikteta na Mbowe anatakiwa kung'atuka apishe damu changa willingly!
Atasema kuwa aliondolewa makao makuu kwa hila.
Atasema aliombwa kufanya kazi pale lakini mambo yakaenda ndivyo sivyo.
Atasema hakuna uhuru wa kutoa maoni. Atasema kuna ukabila na udini.
Atasema yeye ni msomi hawezi kutumika. Kisha atasema anaipenda Chadema na kambi ya upinzani na ni muumini wa mabadiliko.
Atasema anakusudia kukata rufaa. Atasema anaenda mahakamani.
Hakuna mapya!
Ndoto za kuwa mwenyekiti wa bavicha zinakufanya utumike sana
Ndoto za kuwa mwenyekiti wa bavicha zinakufanya utumike sana
Wewe una ndoto gani zaidi yakujikomba?Ndoto za kuwa mwenyekiti wa bavicha zinakufanya utumike sana
Mwigamba ana hoja ! CHADEMA inaendeshwa Kidikteta na Mbowe anatakiwa kung'atuka apishe damu changa willingly!
umekuwa katibu muhtasi wa mwigamba (secretary)
Wamempiga wamempora simu zake na laptop pamoja na pesa.
Mkuu ulimaanisha saa nne na nusu ya usiku au asubuhi hii ? Mbona kimya na tayari dakika 15 zimesha katika ama amesha inngia nawe umesahau ku post ?
Kiherehere.....!
Ndoto za kuwa mwenyekiti wa bavicha zinakufanya utumike sana
mkuu ulimaanisha saa nne na nusu ya usiku au asubuhi hii ? Mbona kimya na tayari dakika 15 zimesha katika ama amesha inngia nawe umesahau ku post ?