Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Jamani chonde CDM tuachie baba yetu maana tunamwogopa sana Mzee wa Sumu asije akamdhuru baba yetu! Yeye ni mtu anayetembea na Sumu muda wote!

Usimdhuru Mwigamba chonde chonde ndugu yangu maana nyie hamna dogo hata kidogo!

Chukua hatua chukia chadema!
 
hata akiongea na vyombo vya habari haimsaidii zaidi ya kujichora tu wako wapi akina fyonza walioondoka kwa mbwembwe!
 
Jamani chonde CDM tuachie baba yetu maana tunamwogopa sana Mzee wa Sumu asije akamdhuru baba yetu! Yeye ni mtu anayetembea na Sumu muda wote!

Usimdhuru Mwigamba chonde chonde ndugu yangu maana nyie hamna dogo hata kidogo!

Chukua hatua chukia chadema![/QUOTE

kwani chadema ndio wanasababisha kutokuwepo na dawa hospialini au mkopo kwa wanafunzi?
 
Mr Chairman is going to be CHADEMA's political down-fall take it from me,Infact he is more of a liability than an asset to the Party.He has too many skeletons in his closet.Dr Slaa,Lissu,Arfi and Professor Safari could undoubtedly be the excellent leaders to lead CHADEMA.They have very few or no scandals in their private lives.
Mtasubiri sana embe chini ya mwarobaini.
 
attachment.php

Hivi huyu mtu alipona?
 
Wakuu kama mnavyojua leo Mwigamba aliahidi kuzungumza na waandishi wa habari.... ... Nitakuwa nawaletea live kutoka eneo la tukio....... Niko hapa Premier Palace Hotel..... Mda wowote kuanzia sasa Mwigamba ataanza kuzungumza.....

Nawakilisha
====================
Mwingamba ndiyoanaingia..
Awali ya yote napenda kuongea na watanzania na wanaoipenda chadema wanaoipenda chadema na wenye imani na chadma wanao amini kuwa chadema ndiyo mkombozi wao, imani yao hiyo ni sahihi kabisa hata mimi ninaimani hiyo na wale wale wanoamini kuwa yaliyotokea juzi kuwa yataisambalatisha chadema wanakosea, chadema ni taasisi ambayo ni mjumuiko wa watu wengi wenye mitazamo tofauti, ndugu wana habari mimi ndiyo samson Mwigamba mwanachama wa chadema nilijiiunga nikiwa usa river...

Ameanza vyema, endelea kutujuza anasemaje zaidi ya imani hiyo ambayo watanzania wote wanaamini kwasasa!
 
kulikuwa na viongozi wengi lakini kapigwa yeye! Tafakari, chukua hatua!

kwani katiba ya cdm inaruhusu mtu anapokosa, athabu yake ni kutupiwa makonde???mi nathani sio njia sahihi waliyotumia ,,hasira hasara,,,,hili tukio sio zuri kwa future ya cdm
 
Awali ya yote napenda kuongea na watanzania na wanaoipenda chadema wanaoipenda chadema na wenye imani na chadma wanao amini kuwa chadema ndiyo mkombozi wao, imani yao hiyo ni sahihi kabisa hata mimi ninaimani hiyo na wale wale wanoamini kuwa yaliyotokea juzi kuwa yataisambalatisha chadema wanakosea, chadema ni taasisi ambayo ni mjumuiko wa watu wengi wenye mitazamo tofauti, ndugu wana habari mimi ndiyo samson Mwigamba mwanachama wa chadema nilijiiunga nikiwa usa river...

Kuna mwalimu wa Kiswahili hapa? Huu ndiyo mfano halisi wa msamiati "Unafiki"...
 
Rudi tu CCM, hata ukiongea na Mungu live hamna kitu kitakusaidia.
 
Mwingamba ndiyoanaingia..
Awali ya yote napenda kuongea na watanzania na wanaoipenda chadema wanaoipenda chadema na wenye imani na chadma wanao amini kuwa chadema ndiyo mkombozi wao, imani yao hiyo ni sahihi kabisa hata mimi ninaimani hiyo na wale wale wanoamini kuwa yaliyotokea juzi kuwa yataisambalatisha chadema wanakosea, chadema ni taasisi ambayo ni mjumuiko wa watu wengi wenye mitazamo tofauti, ndugu wana habari mimi ndiyo samson Mwigamba mwanachama wa chadema nilijiiunga nikiwa usa river...
Statement ya kwanza tu B7 wamepigwa bao la kwanza

ila whatever the case Mwigamba sina imani nawe.

na hongera Ben Saanane you predicted the same.
 
Ameanza vyema, endelea kutujuza anasemaje zaidi ya imani hiyo ambayo watanzania wote wanaamini kwasasa!

Hajaanza vyema mkuu... Kaanza kinafiki kama kawaida. Hivi hivi ndivyo aliongea akiwasifia viongozi juzi ile kumbe alipokaa aka "submit the new topic"...
 
naona umekaririshwa vibaya sana,,kila mtu akitoa mtazamo wake aende mahakamani,,,,basi safari hii ushahidi wangu nitaupeleka kwa mama yako

Kwann wewe mama yako haingiliki naye apelekewe ujinga wako?
 
Haitasaidia kitu kuna watu walitoka chumbani kabisa kina Kabuoru sembuse wa jikoni.
Mkuu mbona wanoshughulikiwa ni watu kanda ya ziwa tu kama vile Amani Kabouru, Chacha Wangwe, Zitto Kabwe, Samson Mwigamba na Shibuda nk. kuna nini hapo?

 
Mkuu mbona wanoshughulikiwa ni watu kanda ya ziwa tu kama vile Amani Kabouru, Chacha Wangwe, Zitto Kabwe, Samson Mwigamba na Shibuda nk. kuna nini hapo?

Watu wenye fikra finyu na wasio na hoja hukimbilia ukabila.
 
Back
Top Bottom