Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Kwi kwi kwi... Mteja mwenyewe kilaza kama shoza.... Acha wajazane vilaza manake ndege wafananao huruka pamoja
Teh teh teh wapo wengi pale Lumumba eti na wao walikuwa Chadema kwi kwi kwi kwi....
 
Mwigamba ndugu yangu usisahau helmet maana jiandae na jihadhari na matofali
 
nasubir kwa upole, kusikiliza hitimisho.
 
kama vipi afungashe virago vyake awafuate mtela na shonza.! huku kwetu hatuhitaji watu wa dizaini yake
 
Mkulima Masikini achana na siasa za majitaka za prezzo mwenzako kala briefcase zima la 250m na 266,000$ we muendekeze tu!!
 
Last edited by a moderator:
Hana jipya zaidi atajikita kwenye kutafuta huruma yetu kwa visingizio vya kuonewa!

Mwigamba amekula hela ya CCM maana Wassira aliitangazia dunia kwamba chadema itasambaratika kabla ya 2015.Wametumia njia ya ugaidi imeshindikana,sasa wanatafuta viongozi ndani ya chadema ili wakisambaratishe chama chao.
Lakini kama Mungu aishivyo,kama saa ya mabadiliko imefika,hakuna mbinu itakayofanikiwa kuyazuia.Kumbuka wakati ukuta.
Mkutano na waandishi wa habari anaouandaa Mwigamba leo hautamsaidia hata angewasema viongozi wa chadema kwa lugha yoyote mbaya au kashfa kwa sababu watanzania wanajua ni kazi ya ccm.
SAFARI INAENDELEA MBELE,MKIJIKWAA AMKENI MUENDELEE NA SAFARI MPAKA HUYU MDUDU CCM ALIYEMALIZA KULA MAZAO NA MADINI YETU AANGAMIZWE KABISA.
 
anachelewa Mwigamba nahisi atakua anapata maelekezo zaidi kutoka kwa Mwigulu Nchemba boss wake
 
Jamani mwigamba aliahidi kuwa saa nne na nusu ataanza kuzungumza.. Naambiwa na watu walioko eneo la tukio kuwa bado hajatokea mpaka sasa hivi


Wamemteka nini na wale vijana wa chadema sijui wanaitwa nani vile?!
 
Mwigamba ndugu yangu usisahau helmet maana jiandae na jihadhari na matofali[/QUOT

kinamsukuma kuhangaika na lichama la watu kama pamekushinda mwigamba nani kakulazimisha toka nenda zako hakuna wa kumzuia anzishe chama chake au aendw anakojuwa ya nini kuvaa helmet..nyerere aluanzusha ccm kafa kaiacha itakzwa yeye
 
Chadema wamenisikitisha sana,,,,kama wanadai saimon mwigamba amekiuka katiba ya cdm,,,kwa nini waamue kujichukulia sheria mkononi na kuumpiga mwigamba.....kwakweli cdm imenikera sana ,,,,,isitoshe wamefanya hivyo mbele ya mwanzilishi wa cdm mh mtei,,,,,

Enheeee..... Walivyokukera umechukua hatua gani? Au unapiga umbea tu huku jf?
 
Chadema wamenisikitisha sana,,,,kama wanadai saimon mwigamba amekiuka katiba ya cdm,,,kwa nini waamue kujichukulia sheria mkononi na kuumpiga mwigamba.....kwakweli cdm imenikera sana ,,,,,isitoshe wamefanya hivyo mbele ya mwanzilishi wa cdm mh mtei,,,,,

Kulikuwa na viongozi wengi lakini kapigwa yeye! Tafakari, chukua hatua!
 
Back
Top Bottom