Rutunga.
Hoja unayotaka kuijenga inakosa nguvu kama ukijiuliza ilikuwaje yeye Mwigamba Samson akawa Mwenyekiti huko Kaskazini?? tena kwenye ngome hasa ya chama??
Nafikiri hata Golugwe sio jina la makabila ya Kaskazini, lakini ni kiongozi wa Kanda, je umepeata kujiuliza hili swali??
Kama ukijibu haya maswali kwa uaminifu, basi hoja yako inakosa mashiko.
Kwanini Viongozi wote wenye nguvu katika Chama kama Mwenyekiti,Katibu Mkuu,Mkurugenzi wa fedha,nk ni kutoka Kaskazini?Mbaya zaidi hawataki kuitisha uchaguzi wa chama kwa kisingizio cha mamluki kupenyezwa,sawa zitto si anajulikana?je akina Arfi,Safari na Lissu nao ni virusi?