Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Kutoa maoni si tatizo,kwani akitoa maoni kuna ubaya gani? Mwanachama akikosoa tu,tatizo,ndo demokrasia hiyo ndani ya chama?
 
Hekma busara na sheria ndo msingi wa maendeleo.
Wachangiaji wote achen itikadi za vyama venu,bali uharisia wa mambo iwe ndo dira yetu.
Hapa hakuna itikadi,uliona wapi negotiation na msaliti,apigwe tu...
 
siwezi udhika kwa huu ugoro!
watu wazima wanaojadili issue y kutka kuboresha mfumo wa siasa,vilaza kama nyie mnatakiwa kukaa kimya.!
Tunashangzwa na suala la Kutandikwa tena kwa mawe kisa eti umemjadili mwenyekiti.Nyie wa wap?
Siasa ,ziendeshwe kisiasa,siyo siasa+masumbwi?
We ni mjinga
Hujajibu swali we kilaza,jibu tuhuma mnazotoa nyie wadini,wakabila wakubwa..
 
CCM wanaona wivu kwa vile hawana ubavu wa ku-take actions kama hizi hata kama mwanachama atakojolea katiba yao.

Kwa ujumla Mwigamba kachemsha. He knows and everybody know that.
 
Ungekua na sifa hizo ungezamia mishikaki mondoli.Punguza uroho.Mwenyekiti mzima wa UVCCM mkoa unazamia mishikaki unaita ni mojawapo wa mbinu za kisiasa?Grow up!

Ben,
Narudia kukueleza, mimi sina nafasi wala cheo chochote ndani na nje ya UVCCM! Usinipe sifa ambazo sistahili.
 
Mwigamba ninakuamini pole kwa yaliyokukuta, lakini usiponde chama mlichoshiriki kukijenga kwa muda mrefu
 
Kama ana HOJA ya msingi kama anavyodai kwa nn Mwaigamba hakuwahi kusema haya kikaoni?KUSEMA HOJA ya msingi hadi ubadili ID yako?

CCM ilikuwakuta hii Kyela mwaka 2000 wakati MB wa zamani Lumuli Kasyupa alipokuwa mchana anaiunga mkono CCM usiku anamsaidia Mwakasumi wa TLP,alipogundulika MKAPA uwanja wa Mwakangale akamwambie ajiondoe mwenyewe chamani!

Mwigamba kama kiongozi mkubwa CHADEMA kwa nn akawa anajificha anapotoa dukuduku lake?Baada ya kupitia maelezo yote Mwigamba anastahili afukuzwe haraka,hafai!

cc Ben Saanane Tumaini Makene,

Inashangaza sana mkuu....!
 
Last edited by a moderator:
Umenena Mkuu, ametuma vijana akina Bramo Waje kutukana watu hapa Jamvini!
wameishazoea ugomvi, kumbuka jana tundulisu amesema wanakwenda bungeni kuanzisha ugomvi zaidi ya ule uliopita. kwa hiyo nawaomba msishangae hiyo ni hulka ya Cdm.
 
Last edited by a moderator:
wameishazoea ugomvi, kumbuka jana tundulisu amesema wanakwenda bungeni kuanzisha ugomvi zaidi ya ule uliopita. kwa hiyo nawaomba msishangae hiyo ni hulka ya Cdm.

Fujo, matusi, Kashfa, dharau sio kitu cha kujivunia hata siku moja, hasa kwa chama cha siasa chenye lengo la kuongoza serikali siku moja!
 
Kwanini Viongozi wote wenye nguvu katika Chama kama Mwenyekiti,Katibu Mkuu,Mkurugenzi wa fedha,nk ni kutoka Kaskazini?Mbaya zaidi hawataki kuitisha uchaguzi wa chama kwa kisingizio cha mamluki kupenyezwa,sawa zitto si anajulikana?je akina Arfi,Safari na Lissu nao ni virusi?

Mimi sio msemaji wa CHADEMA ila niyasemayo ni maoni yangu na yachukuliwe hivyo hivyo.
Viongozi wenye nguvu ni akina nani?? unamaanisha Tundu Lissu hana nguvu?? je unajua jinsi gani anavyoheshimika na majukumu alonayo kwenye Chama?? unajua Lissu,Kibatala na Prof Safari wamepangua kesi ngapi za chama?
Je Mnyika naye hana nguvu kwenye chama?? Hivi na Mwenyekiti wa BAVICHA John Heche naye hana nguvu au naye anotoka Kaskazini??
Watu wanataka uongozi, na kuchafuana kupo sana sasa tuangalie tusije kulishwa sumu yenye propaganda chafu.

Ni vizuri kufanya uchaguzi, ila kama kuna mtu kapita mikoani akapenyeza propaganda za ukabila labda na udini na kama wajumbe wa mikoani wamekunywa hiyo sumu ya ukabila basi tunaweza kuacha kumchagua kiongozi mzuri ambaye atapigania mapambano ya kutukomboa na CCM kwa sababu ya kabila lake. Ikifikia hapo tutakuwa tumepata hasara kubwa sana.
Tusimchukie mtu kwa kabila lake au dini yake, huo ni ubaguzi mkubwa sana hata MUNGU hapendi.
Naomba kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom