Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Nikiisoma hiyo press release yake naona kama vile anakili kufanya huo ujinga na anajutia.
 
Mkuu, Hujasoma vizuri: mwaka 2004 alikuwa akifundisha Mukidoma. mimi namfahamu huyu jamaa; 2011 hakuwa mukidoma! 1900k ilikuwa ni kutoka kwa mwajiri mwingine ambaye hakumtaja!
Muajiri yupi mbona hajamtaja anataka kutupaisha,kila neno analotamka linafanyiwa kazi..
 
Kamanda Ben kumbe huyu jamaa yako ndiye mwenyekiti wa UVCCM pande za home?
Basi huko UVCCM hakuna vijana Makini. Kwakuwa jamaa kila akigusa keyboard yani anatema pumba za hatari.

Acha tu mkuu...anatudhalilisha sana
 
Vipi madiwani wanne wa Arusha akina Bayo?
Vipi Kisandu?
Vipi Mwampamba?
Vipi Shonza?
Vipi aliyekuwa mbunge wa Rombo 2005-2010 (CDM) Mh Salakana?

By the way, hawa watu wako wapi siku hizi?...

Salakana 1995-2000.
 
Viongozi wa chadema kanda ya ziwa meshashtuka ndiyo maana wananyamazishwa na kupewa kibano. Mbeya-Iringa wanacheza ngoma wasiyoijua. Moshi-Arusha wanakula keki peke yako ukileta hoja hata kama ya msingi ni OUT.


Kama kikwete anavyokula na riz 1 taratiiiiiiib'... .. Piga kelele jf labda riz 1 atakuhurumia ukauze mafuta kwenye moja ya sheli anazomiliki! Kazana!
 
Mwigamba apigwe tu! Ila Mh Lema inampasa sasa aonyeshe utu uzima wake hata nje ya siasa,haijengi picha nzuri kwa Mbunge mzima kuamka na kuanza kumshambulia mtu kama makapurwa wanavyopigana,uheshimiwa una gharama zake,na moja ni hekima ya kutabasamu japo una hasira,na kuwa na uwezo wa kudhibiti hisia zako,Lema ajitazame na achukue hatua,Bado tunamhitaji sana ndani ya jimbo,na ndani ya chama.
 
Democratization seems to be an impossible mission in Africa. Vyama vyenyewe ni very undemocratic hapo hapo vinadai ati kuleta na kutetea democracy.
 
Nikiisoma hiyo press release yake naona kama vile anakili kufanya huo ujinga na anajutia.


Mnafiki tu huyo, hajuti wala nini....... Amekubali kutumiwa na mzee wa brifcase ataipenda.... Awaulize wale madiwani waliofukuzwa cdm kipindi kile leo wako wapi!!.. Ajidanganye na hizi post za lumumba buku 7 humu , akae akijua mwisho wa siku atabaki peke yake!!!
 
1.
Jiulize kwanza walioondoka waliibua kashfa zipi?Lakini pia msisahau kuwa CHADEMA inaandamwa na kashfa za Ukanda na Ukabila huenda mnaoshinda humu katika mitandao ya kijamii hamlielewi hili lakini Watanzania wanafuatilia hatua kwa hatua.Kufukuzwa kwa Mwigamba CHADEMA kama wengi wenu mnavyodanganyana humu kutafuatiwa na serious consequences.Watanzania watajiuliza mbona ni wa huku tu na si wa kule ndio wanaoonekana hawafai.

2. QUOTE=TECH WIZ;7674856]Mwigulu siyo mzima haki ya Mungu tena.Wangetembea tembea katika mahospitali huenda ana jalada la mental case.[/QUOTE]

Ganga njaa gamba
 
Democratization seems to be an impossible mission in Africa. Vyama vyenyewe ni very undemocratic hapo hapo vinadai ati kuleta na kutetea democracy.


Enheeeee..... Hebu funguka zaidi, kwahiyo unataka kusemaje?
 
Hivi ni kwa nini watenda maovu na wasaliti ndani ya CDM wawe ni kutoka nje ya kaskazini?
hili suala linaleta shida sana kwa chama makini kama CDM.
Iweje katika chama kuwepo watu ambao wao wanafikiri ndiyo chama wengine wanaweza hata kutandikwa kama mtoto kisa katofautiana na wengine.

Sipendi hii move kwa kweli,kama mtu kakosea,kuna taratibu za chama siyo kipigo jamani!
Hivi nchi itaongozwa kwa mfumo huo.kama mtu yeyote anayekupinga solutuion ni kipigo hii ni aibu sana.

Pamoja na Usaliti wa Mwigamba lakini adhabu ya kipigo tena kwa mawe sikubaliani nayo hata kidogo.
 
mwanachama kwa kadi ipi? Nenda zako hata CCM kwani lazima CDM tu?

Kwani we we chadema ni yako. Jibu hoja sio kubwabwaja tu. Ktk taasisi yoyote lazima watu watofautiane mawazo,hatuwezi kuwa makondoo wote. We we unanitishia na chadema yako unanijua?
 
Tatizo la msingi kwa mwanachama yeyote ni jinsi ya kuwasilisha mawazo yako..Naamini kwenye vikao halali vya chama watu husikilizwa hili linafanyika sana ila huwzi poteza muda pia kumsikiliza mtu ambaye tayari anahisi kuonewa...Mwigamba ni mwanasiasa makini kakosea ndio kubaini tatizo pia,,,''Awali ya yote napenda kuongea na watanzania na wanaoipenda chadema wanaoipenda chadema na wenye imani na chadma wanao amini kuwa chadema ndiyo mkombozi wao, imani yao hiyo ni sahihi kabisa hata mimi ninaimani hiyo na wale wale wanoamini kuwa yaliyotokea juzi kuwa yataisambalatisha chadema wanakosea, chadema ni taasisi ambayo ni mjumuiko wa watu wengi wenye mitazamo tofaut.''MWIGAMBA....Kasema maneno sahihi yenye kuonesha ukomavu wa kisiasa..
``
 
Akipatwa na kupindapinda asije kusema ni chadema maana sasa ccm itatuma magaidi kumshambulia ili chadema ituhimiwe. kaa chonjo
 
Atasema kuwa aliondolewa makao makuu kwa hila.

Atasema aliombwa kufanya kazi pale lakini mambo yakaenda ndivyo sivyo.

Atasema hakuna uhuru wa kutoa maoni. Atasema kuna ukabila na udini.

Atasema yeye ni msomi hawezi kutumika. Kisha atasema anaipenda Chadema na kambi ya upinzani na ni muumini wa mabadiliko.

Atasema anakusudia kukata rufaa. Atasema anaenda mahakamani.

Hakuna mapya!

Hivi ni kwa nini watenda maovu na wasaliti ndani ya CDM wawe ni kutoka nje ya kaskazini?
hili suala linaleta shida sana kwa chama makini kama CDM.
Iweje katika chama kuwepo watu ambao wao wanafikiri ndiyo chama wengine wanaweza hata kutandikwa kama mtoto kisa katofautiana na wengine.

Sipendi hii move kwa kweli,kama mtu kakosea,kuna taratibu za chama siyo kipigo jamani!
Hivi nchi itaongozwa kwa mfumo huo.kama mtu yeyote anayekupinga solutuion ni kipigo hii ni aibu sana.

Pamoja na Usaliti wa Mwigamba lakini adhabu ya kipigo tena kwa mawe sikubaliani nayo hata kidogo.
 
Back
Top Bottom