Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Hivi ni kwa nini watenda maovu na wasaliti ndani ya CDM wawe ni kutoka nje ya kaskazini?
hili suala linaleta shida sana kwa chama makini kama CDM.
Iweje katika chama kuwepo watu ambao wao wanafikiri ndiyo chama wengine wanaweza hata kutandikwa kama mtoto kisa katofautiana na wengine.

Sipendi hii move kwa kweli,kama mtu kakosea,kuna taratibu za chama siyo kipigo jamani!
Hivi nchi itaongozwa kwa mfumo huo.kama mtu yeyote anayekupinga solutuion ni kipigo hii ni aibu sana.

Pamoja na Usaliti wa Mwigamba lakini adhabu ya kipigo tena kwa mawe sikubaliani nayo hata kidogo.
Mkuu hata Mimi nimehuzunishwa sana kusikia jamaa Kala kichapo. Lakini kwanini engine wajione miungu?? Watz hatutaki ujinga wa aina hii. Kutofautiana tu mawazo MTU Amish kuwa salia? Nazi kweli kweli
 
Hivi ni kwa nini watenda maovu na wasaliti ndani ya CDM wawe ni kutoka nje ya kaskazini?
hili suala linaleta shida sana kwa chama makini kama CDM.
Iweje katika chama kuwepo watu ambao wao wanafikiri ndiyo chama wengine wanaweza hata kutandikwa kama mtoto kisa katofautiana na wengine.

Sipendi hii move kwa kweli,kama mtu kakosea,kuna taratibu za chama siyo kipigo jamani!
Hivi nchi itaongozwa kwa mfumo huo.kama mtu yeyote anayekupinga solutuion ni kipigo hii ni aibu sana.

Pamoja na Usaliti wa Mwigamba lakini adhabu ya kipigo tena kwa mawe sikubaliani nayo hata kidogo.

Nilipopewa adhabu ya kuzuiwa kugombea uongozi ndani ya chama mbona hoja yako haikuibuka mkuu?Tena kosa langu lilikua dogo kuliko hili
 
Hahahaha ila Lema kanifurahisha ni kama alijua mwigamba ana id mbili
 
Hakunaga cdm ukileta longolongo we chako kipondo tu 100% hii ndo dawa ya mandumilakuwili argent of ccm.safi sana lema .mbowe,na wote mnashulika na politics safisha vizabinazabina.....hawajui watu wameinvest kwenye chama miaka kibao hadi maisha yao yakaathirika.peoples poweersssssssssssssssssssssssss!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi ni kwa nini watenda maovu na wasaliti ndani ya CDM wawe ni kutoka nje ya kaskazini?
hili suala linaleta shida sana kwa chama makini kama CDM.
Iweje katika chama kuwepo watu ambao wao wanafikiri ndiyo chama wengine wanaweza hata kutandikwa kama mtoto kisa katofautiana na wengine.

Sipendi hii move kwa kweli,kama mtu kakosea,kuna taratibu za chama siyo kipigo jamani!
Hivi nchi itaongozwa kwa mfumo huo.kama mtu yeyote anayekupinga solutuion ni kipigo hii ni aibu sana.

Pamoja na Usaliti wa Mwigamba lakini adhabu ya kipigo tena kwa mawe sikubaliani nayo hata kidogo.

Hiyo red, una uhakika na hilo? Je ni kwanini mbegu ya udini na ukabila iliyopandwa na Nape & CCM imekuingia kiasi hicho?

Hivi wale madiwani 4 waliotimuliwa CHADEMA wakiongozwa na Estomih Malla ni wa kusini? Watu kama wewe ndio moja ya sababu kuu kwa nini Tanzania ni maskin. Samahani kama nimekuudhi.
 
Jiulize kwanza walioondoka waliibua kashfa zipi?Lakini pia msisahau kuwa CHADEMA inaandamwa na kashfa za Ukanda na Ukabila huenda mnaoshinda humu katika mitandao ya kijamii hamlielewi hili lakini Watanzania wanafuatilia hatua kwa hatua.Kufukuzwa kwa Mwigamba CHADEMA kama wengi wenu mnavyodanganyana humu kutafuatiwa na serious consequences.Watanzania watajiuliza mbona ni wa huku tu na si wa kule ndio wanaoonekana hawafai.

Wenye akili ndogo kama zako sio wengi kihivyo.
 
Nilipopewa adhabu ya kuzuiwa kugombea uongozi ndani ya chama mbona hoja yako haikuibuka mkuu?Tena kosa langu lilikua dogo kuliko hili

Afadhali wewe ulisamehewa lakini akina Shonza,Mchange na Mwampamba hawakusamehewa sijui kwa nini?Kuweni makini na kule Chama mnapokupeleka 2015 Ikulu mtaisikia kwenye bomba msipofanya mabadiliko tunayowashauri.
 
Mwigamba ni kiongozi mnafiki sana na muoga?kwanini aongee pembeni? kwa nini hakuongea hoja zake kwenye kikao alaf zikataliwe pengine ange hitisha press conferess kama leo kuliko kuongea pembeni tena kwa kujificha.

Huu ni unafiki mkubwa tena sana.

Kiongozi anayependa kuongea pembeni ni wakuogopa kama ukoma.
 
Afadhali wewe ulisamehewa lakini akina Shonza,Mchange na Mwampamba hawakusamehewa sijui kwa nini?Kuweni makini na kule Chama mnapokupeleka 2015 Ikulu mtaisikia kwenye bomba msipofanya mabadiliko tunayowashauri.

hao vichaa wawili ulio wataja walikuwa tayari hata kuomba msamaha?kwa nini usijiulize hile jeuri waliitoa wapi?
 
Mwigamba bana.

Eti "Nimepigwa mbele ya gari la Mbowe". Sasa si alilaumu gari. Inakuwaje anamlaumu Mbowe.

Naona Mh. Mbowe amewajibu vizuri kuwa yeye si gari.
 
Hivi ni kwa nini watenda maovu na wasaliti ndani ya CDM wawe ni kutoka nje ya kaskazini?
hili suala linaleta shida sana kwa chama makini kama CDM.
Iweje katika chama kuwepo watu ambao wao wanafikiri ndiyo chama wengine wanaweza hata kutandikwa kama mtoto kisa katofautiana na wengine.

Sipendi hii move kwa kweli,kama mtu kakosea,kuna taratibu za chama siyo kipigo jamani!
Hivi nchi itaongozwa kwa mfumo huo.kama mtu yeyote anayekupinga solutuion ni kipigo hii ni aibu sana.

Pamoja na Usaliti wa Mwigamba lakini adhabu ya kipigo tena kwa mawe sikubaliani nayo hata kidogo.

Rutunga.
Hoja unayotaka kuijenga inakosa nguvu kama ukijiuliza ilikuwaje yeye Mwigamba Samson akawa Mwenyekiti huko Kaskazini?? tena kwenye ngome hasa ya chama??
Nafikiri hata Golugwe sio jina la makabila ya Kaskazini, lakini ni kiongozi wa Kanda, je umepeata kujiuliza hili swali??
Kama ukijibu haya maswali kwa uaminifu, basi hoja yako inakosa mashiko.
 
Naskia alipigwa jiwe ndan ya hotel
ha ha ha...., ilikuwa ngumi-jiwe. si unajua wale wanaofanya mazoezi na kutengeneza nakoz, akikupiga ngumi utafikiri jiwe... ha ha ha ha....
 
Eti "nimepigwa mbele ya gari la mbowe" kwa hiyo alitaka gari limtetee?
 
Rutunga.
Hoja unayotaka kuijenga inakosa nguvu kama ukijiuliza ilikuwaje yeye Mwigamba Samson akawa Mwenyekiti huko Kaskazini?? tena kwenye ngome hasa ya chama??
Nafikiri hata Golugwe sio jina la makabila ya Kaskazini, lakini ni kiongozi wa Kanda, je umepeata kujiuliza hili swali??
Kama ukijibu haya maswali kwa uaminifu, basi hoja yako inakosa mashiko.

Pia na wale madiwani waliotimuliwa na Dr walikuwepo wachagga. wapinzani wa CDM wakibaki kuamini CDM kuna ukabila au ukanda inakua ni advantage
kwa CDM
 
Mwigamba bana.

Eti "Nimepigwa mbele ya gari la Mbowe". Sasa si alilaumu gari. Inakuwaje anamlaumu Mbowe.

Naona Mh. Mbowe amewajibu vizuri kuwa yeye si gari.

Upeo wenu wewe na huyo Mbowe wenu ni finyu sana!
 
Back
Top Bottom