The Golden Mean
Member
- Sep 15, 2008
- 54
- 0
Ulizuka ubishi mkali kati ya Mwakyembe na vibaraka wa rostam, hasa Balile aliyekua anataka kung'ang'ania kuwa kanuni si sheria...Dr akamwangusha vibaya mno juu ya ubishanii huo.
kwa ufupi amesema anamiliki hiyo kampuni, ila anasema hawezi kutangaza confilic of interest sehamu ambayo hamna maslahi ya kifedha (accoding to sheria conflict of interest lazima kuwe na maslahi ya kifedha) as hiyo kampuni yake haina hata shilingi na inahitaji kama nusu trillion ili kutake off, so it is currently just a dream, ambayo inaweza ikawa au isiwe.
kwa ufupi amesema anamiliki hiyo kampuni, ila anasema hawezi kutangaza confilic of interest sehamu ambayo hamna maslahi ya kifedha (accoding to sheria conflict of interest lazima kuwe na maslahi ya kifedha) as hiyo kampuni yake haina hata shilingi na inahitaji kama nusu trillion ili kutake off, so it is currently just a dream, ambayo inaweza ikawa au isiwe.