Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Lango la kuingia nchini linapokosa mtu makini lawama na kudumaa Kwa huduma lazima kuwepo; Kwa kipindi kifupi toka kuzinduliwa Kwa terminal 3 madhaifu yafuatayo yapo wazi na Kila msafiri makini anayaona.
1. TV zinazoonyesha ratiba ya safari terminal 2 zimeondolewa, hivyo hakuna sehemu unapata huduma yakutambua ndege Yako inaondoka saa ngapi au mpendwa wako anaingia saa ngapi.
2. Spika za matangazo hazifanyi kazi au matangazo ayatolewi Kwa mujibu wa sheria na taratibu kama viwanja vingi vya Kimataifa vinavyopaswa kufanya kazi.
3. Kukosekana Kwa matangazo na kuondolewa Kwa tv za matangazo kumepelekea wasafiri wengi kukataliwa kusafiri Kwa kuambiwa geti zimefungwa na wanapolalamika mbona walikuwa uwanjani awapewi msaada.
4. Hakuna mtu anayesimamia huduma za precision na air Tanzania, watoa huduma wapo too slow lakini pia wanarundikana kaunta wakipiga stori huku wateja wapo Kwenye foleni.
5. Nimesafiri mara kadhaa mwaka huu kila ukiingia uwanjani usipokutana na abiria wanalalamikia huduma za air Tanzania utakutana na lawama kwenye ndege. Inaonekana wapo baadhi ya wafanyakazi wa air Tanzania wanatoza wasafiri fedha kinyume na tiketi zao,au wapo wahudumu wanakataa kuwahudumia wateja Ili wawalipishe tiketi upya na wapewe commission na shirika au wapo watu wanaoshindwa kuwajibika kutoa taarifa SAHIHI Kwa wateja nk naamini Kuna uzembe
6. Hakuna siku nimewahi kusafiri na air Tanzania nikaona wahudumu wao wakitafuta wateja ambao walifanya booking wakalipia lakini awajacheck in; ukienda viwanja vyote vikubwa lazima uone wahudumu wa mashirika ya ndege wakitembea Hadi nje ya uwanja kutafuta abiria ambao awajacheck in . Hapa Kwetu utadhani tuna laana; muhudumu kuangalia system na kutoka kutafuta abiria kabla yakufunga kaunta hakuna na hapa Nadhani ndipo Dili linapofanyika. It's like wapo tayari ndege iende na watu wawili lakini waache abiria au wawakatishe tickets twice.
Haya na mengine mengi yanakufanya ujiulize msimamizi wa Uwanja huu yupo serious? Anafanya ukaguzi-? Wageni kutoka nje hasa wanaokwenda kwenye utalii kaskazini wanalalamikia hizi huduma zetu sijui anasikia? Spika inacost shilingi ngapi? Mtoa matangazo Kwanini asiwajibishwe? Huyo aliyetoa screen anasubiri Nini ofisini? Air Tanzania Kwanini wahujumu shirika Kwa huduma mbovu wasiwajibishwe? Don't you have standards? Wageni wanaposikia makelele uwanjani mnajisikiaje? It's shame mjue? But why everyday mnarudia same mistakes? Je, hakuna CCTV camera zakuonyesha ubovu wa watoa huduma?
Naamini terminal 3 Haina Muda nayo itakufa Kwa sababu mentality ni zile zile; mkurugenzi Toka ofisini angalia miundombinu ya uwanja inavyohudumiwa lakini pia angalia watoa huduma sidhani kama wanakutakia mema.
Contrary basi tutaanza kuamini mnamhujumu mama Kwa Sasa yule Mzee amkumfanyia haya; mnataka air Tanzania ipewe jina baya ikose abiria Jambo ambalo Lina tija Kwenu ila halina tija Kwa Taifa.
Roho wa Mungu akuongoze uwekeze Kwa watoa taarifa wanaokuambia nini kinafanyika hapo uwanjani kwako; Hali si shwari.
1. TV zinazoonyesha ratiba ya safari terminal 2 zimeondolewa, hivyo hakuna sehemu unapata huduma yakutambua ndege Yako inaondoka saa ngapi au mpendwa wako anaingia saa ngapi.
2. Spika za matangazo hazifanyi kazi au matangazo ayatolewi Kwa mujibu wa sheria na taratibu kama viwanja vingi vya Kimataifa vinavyopaswa kufanya kazi.
3. Kukosekana Kwa matangazo na kuondolewa Kwa tv za matangazo kumepelekea wasafiri wengi kukataliwa kusafiri Kwa kuambiwa geti zimefungwa na wanapolalamika mbona walikuwa uwanjani awapewi msaada.
4. Hakuna mtu anayesimamia huduma za precision na air Tanzania, watoa huduma wapo too slow lakini pia wanarundikana kaunta wakipiga stori huku wateja wapo Kwenye foleni.
5. Nimesafiri mara kadhaa mwaka huu kila ukiingia uwanjani usipokutana na abiria wanalalamikia huduma za air Tanzania utakutana na lawama kwenye ndege. Inaonekana wapo baadhi ya wafanyakazi wa air Tanzania wanatoza wasafiri fedha kinyume na tiketi zao,au wapo wahudumu wanakataa kuwahudumia wateja Ili wawalipishe tiketi upya na wapewe commission na shirika au wapo watu wanaoshindwa kuwajibika kutoa taarifa SAHIHI Kwa wateja nk naamini Kuna uzembe
6. Hakuna siku nimewahi kusafiri na air Tanzania nikaona wahudumu wao wakitafuta wateja ambao walifanya booking wakalipia lakini awajacheck in; ukienda viwanja vyote vikubwa lazima uone wahudumu wa mashirika ya ndege wakitembea Hadi nje ya uwanja kutafuta abiria ambao awajacheck in . Hapa Kwetu utadhani tuna laana; muhudumu kuangalia system na kutoka kutafuta abiria kabla yakufunga kaunta hakuna na hapa Nadhani ndipo Dili linapofanyika. It's like wapo tayari ndege iende na watu wawili lakini waache abiria au wawakatishe tickets twice.
Haya na mengine mengi yanakufanya ujiulize msimamizi wa Uwanja huu yupo serious? Anafanya ukaguzi-? Wageni kutoka nje hasa wanaokwenda kwenye utalii kaskazini wanalalamikia hizi huduma zetu sijui anasikia? Spika inacost shilingi ngapi? Mtoa matangazo Kwanini asiwajibishwe? Huyo aliyetoa screen anasubiri Nini ofisini? Air Tanzania Kwanini wahujumu shirika Kwa huduma mbovu wasiwajibishwe? Don't you have standards? Wageni wanaposikia makelele uwanjani mnajisikiaje? It's shame mjue? But why everyday mnarudia same mistakes? Je, hakuna CCTV camera zakuonyesha ubovu wa watoa huduma?
Naamini terminal 3 Haina Muda nayo itakufa Kwa sababu mentality ni zile zile; mkurugenzi Toka ofisini angalia miundombinu ya uwanja inavyohudumiwa lakini pia angalia watoa huduma sidhani kama wanakutakia mema.
Contrary basi tutaanza kuamini mnamhujumu mama Kwa Sasa yule Mzee amkumfanyia haya; mnataka air Tanzania ipewe jina baya ikose abiria Jambo ambalo Lina tija Kwenu ila halina tija Kwa Taifa.
Roho wa Mungu akuongoze uwekeze Kwa watoa taarifa wanaokuambia nini kinafanyika hapo uwanjani kwako; Hali si shwari.