Zinedine
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,187
- 694
Vipi Pweza pia wanapatikana mikoa hiyo?Morogoro and Mwanza are the best regions in Tanzania this is serious u guys.
Vipi Pweza pia wanapatikana mikoa hiyo?Morogoro and Mwanza are the best regions in Tanzania this is serious u guys.
Singida kuna Maziwa (mabwawa) ya asili makubwa mawili yako kila kando ya mji (mji uko kati), moja linaitwa Singidani na moja linaitwa Kindai. Pazuri sana kwa mwenye kuelewa.
ram, mie sipo Singida sitoweza kukusaidia kwa hilo.FaizaFoxy, hebu tuonane PM, nahitaji kiwanja cha kujenga nyumba hapo singida
ram, mie sipo Singida sitoweza kukusaidia kwa hilo.
Nakushauri wasiliana amma na Mbunge wa Singida mjini Mohamed Dewji, au na Mkuu wa Mkoa, Dr. Parseko Kone, ni watu wenye kupenda sana maendeleo na wasikivu sana nna uhakika watakusaidia sana.
Yakheee nenda Tanga Raha, hao wote wanakudanganya tu. Ulishawahi kusikia mkoa wa Tanga kuna njaa?
Mvua mara mbili, matunda yote unayoyajua wewe utapata Tanga, mazao karibu yote yanakubali ardhi ya Tanga. Hao mademu waliosema wengine huku wapo wa kumwaga na maji ya hiliki na mdalasini utawekewa bafuni na ukitaka kubebwa mgongoni pia utabebwa.
Kule twala samaki wa maji chumvi unachoma na kula bila kuweka chumvi sio wengine wanakula perege hata nyama hawana.
Ok, nikajua uko singida, manake umeufagilia kweli mkoa wa singida
niempesa nauli nije.
Hapana, nimepapenda tu Singida, siishi huko.
Ok, karibu sana kwetu singida mamii