grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Yakheee nenda Tanga Raha, hao wote wanakudanganya tu. Ulishawahi kusikia mkoa wa Tanga kuna njaa?
Mvua mara mbili, matunda yote unayoyajua wewe utapata Tanga, mazao karibu yote yanakubali ardhi ya Tanga. Hao mademu waliosema wengine huku wapo wa kumwaga na maji ya hiliki na mdalasini utawekewa bafuni na ukitaka kubebwa mgongoni pia utabebwa.
Kule twala samaki wa maji chumvi unachoma na kula bila kuweka chumvi sio wengine wanakula perege hata nyama hawana.
Mvua mara mbili, matunda yote unayoyajua wewe utapata Tanga, mazao karibu yote yanakubali ardhi ya Tanga. Hao mademu waliosema wengine huku wapo wa kumwaga na maji ya hiliki na mdalasini utawekewa bafuni na ukitaka kubebwa mgongoni pia utabebwa.
Kule twala samaki wa maji chumvi unachoma na kula bila kuweka chumvi sio wengine wanakula perege hata nyama hawana.