Mnyamwezi wa Urambo
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 928
- 275
Mkuu, Tabora nyoka wamepungua siku hizi? Nakumbuka Cheyo A, kulikuwa kuna nyoka wana speed ya ajabu.
Mkuu siku hizi Cheyo A ndiyo kwa vibopa wa mji, nyumba zimejengwa yaani mji umetanuka mpaka Cheyo na Ipuli zimeungana zinatenganishwa na reli ya kati tu. Cheyo imefika mpaka uwanja wa ndege siku hizi mkuu.