Njoo Chugga mwana.....full kipupwe......bata ndio mahala pake......hakuna mawazo.....
Tanga ni mkuoa wenye rutuba sana, gharama za chakula zipo chini.
CHUAKACHARA karibu kwetu MARA wilaya TARIME ni sehemu nzuri sana vitu nafuu tunatoa KENYA tu. Nairobi ni karibu kuliko kwenda DAR, samaki wapo wa Ziwa Victoria na Mto Mara, pia kuna ndizi nyingi, Inshort kuna vitu vingi tu vya kupendeza watu wa huko ni wakarimu sana.
jumamosi nimeingia pale milestone park kwa mara ya kwanza, okay ni pazuri ila nyomi haswaaaa, wakaka/wababa/wadada wa mawe wote wapo pale, agrr full kujaa, huku birthday, huku huyu anaruka manyoka, huku vile! aisee, umeshaingia pale? umepapenda?
bado mwaya......waziri wa mambo ya ndani ananiletea kauzibe......wacha apate uzuru kwanza.....lazima niende........
Napendekeza Singida:
![]()
![]()
Singida Regional Referral Hospital
The first two buildings of this project are currently under construction!
Phase I Master Plan
Singida, Tanzania
Hamia Tanga,jiji tulivu,vitu bei nzuri,mazao yote yanapatikana,hakuna shida ya maji,hakuna foleni za magari,ujambazi si sana.Sehemu za kutembea na zilizo na usalama ni nyingi,barabara nzuri.Biashara nzuri.Makabila ya mji huu ni watu wazuri.Jamani mimi natafuta mkoa mzuri wa kuishi ambako maisha ni ahueni! Nijuzeni waungwani!
wewe unaongelea wilaya ya Handeni,ambyo ni wilaya kubwa sana katika mkoa wa Tanga,na ni wilaya yenye wakazi wachache.Ukisikia Tanga,njoo Tanga city centre,nikimaanisha wilaya ya Tanga.Tanga jiji ni raha kwenda mbele.Tanga njaa tu, kila mwaka mahindi ya msaada, ladba matunda tu hasa msimu wa machungwa.
Aliyekudanganya nani Tanga hakuna maendeleleo?Tanga ni manispaa ya Kwanza Tanzania,na sasa ni jiji,Ni ya pili kwa kulipa kodi Tanzania,baada ya Dar.Wagu wake wamebweteka/wavivu.., hence hakuna maendleo
Nitakutafuta mkuu, nna mpango wa kurudi Tz within 5 years to come, lakini nikiangalia Dar, nitakuwa siiwezi tena kwa sasa. Full stressKwa walio sema morogoro nawaunga mkono nimeizunguka tz nikiwa mzaliwa wa dar asili ya wazazi kilimanjaro ila naishi moro kwanza kwanini moro ...mashamba bei poa viwanja bei poa vyakula tele nyumba za kupanga bei nzr kaz ni kwako pia foleni hakuna weather nzr tu .karibu mazimbu
Nenda ule mkoa wa mkuu "wapigwe tu" ili uwe na uzoefu wa kupigwa na kupiga.
duh,yaani kitakuwa kikubwa kuliko SUA?,nchi hii bwana ndo maana haiendelei kwa sababu mipango mingi hupangwa na wanasiasa badala ya wataalam,kuna ubaya gani kama wasingekiimarisha SUA?
Njoo Chugga mwana.....full kipupwe......bata ndio mahala pake......hakuna mawazo.....
A-Town
Arusha
Geneva ya Afrika
Njoo haraka
Chugga ndo wapi Preta?
Njoo arusha..
Arusha
Arusha, Mwanza au Dom.