Mkoa gani ni mzuri kuishi?

Mkoa gani ni mzuri kuishi?

Wee kweli mkale, umekula hadi sasati na lade, hapo ni singida mjini hujaenda iramba ukalishwa karanga zilizopikwa then zikakushwa hutatamani kuacha kuzila.

Singida ni pazuri sana sema serikali kidogo ilipasahau japo saa hizi kidogo wameanza kutukumbuka, manake mji ni msafi pale mjini pote pana lami, watu wanajenga nyumba zenye akili

Iramba nimeenda sana hizo karanga sijala, lakini nilkula karanga kwa sukari guru.
 
Usijalibu chuga kama unategemea kuajiliwa other wise uwe mwizi wa wakati kazini kwako,,,nenda rukwa,mbeya ,moro usijalibu singida, dom, wala shai ,,,labda mwanza pia,,,kama mchapa kazi nenda dar
 
Next time ukienda waambie wenyeji wako unahitaji kula karanga "nampuligwe" kwa kinyiramba, nina hakika utazipenda na hautachoka kula


Iramba nimeenda sana hizo karanga sijala, lakini nilkula karanga kwa sukari guru.
 
Next time ukienda waambie wenyeji wako unahitaji kula karanga "nampuligwe" kwa kinyiramba, nina hakika utazipenda na hautachoka kula

InshaAllah ntahakikisha hivyo, tena singoji kwenda ngoja niziagize sasa hivi, maana nna wahisani zangu wengi huko.
 
  • Thanks
Reactions: ram
Em describe yourself vizuri basi ueleweke, mkoa mzuri wewe ni mtu wa aina gani na unapenda kufanya nini,
kuna mikoa ukienda kama unataka ukafungue Mall kama Quality Centre hata hutopata mteja hata moja, sasa au unataka sehemu ambayo utatulia bila kufanya kazi? zipo nyingi tu, kwanza describe ujue unataka sehemu ambayo ina maisha ya hadhi gani.
 
Nenda Bagamoyo au Msata maisha huko simpo, mkuu wa kaya wikiendi anakuja na kiroba cha noti anazimwaga kila mtu anapata bila jasho
 
nenda kwenu make navyojua hakuna pazuri kuliko nyumbani ..east west,home is best !
 
IRINGA..JPG

Njoo Dirty South Iringaaa..... hiyo picha ilikua mwaka 1983 sa hiv patakuajee??? Mwanza,Moro,Dom tupa kuleeeeeee
 
rukwa, morogoro na mwanza. pia kahama si pabaya sana ingawa ni wilaya. bt ni pazuri knoumer
 
Back
Top Bottom