Ezekieli Moringe
Member
- Aug 5, 2013
- 9
- 3
Njoo Arusha
Pweza? hahah, Zenith usiniangushe mpendwa. Kama vipi ni-PM nikutajie kazi yake-hahahaha, Eid MubarakWe unawataka wa kazi gani?
Nakushauri mkoa wa Ruvuma utakufaa sana.
Njoo Lindi hakuna majungu wala masufuria
it's true tarime is the best place to live in tz kama cyo kugecha na kutema kunakofanywa na akina muraIla ki ukweli tarime isingekuwa mapanga, ni wilaya ambayo maisha yake ni very simple, vyakula bei rahisi, madukani vitu bei rahisi, shida ni kugechana tu
Karibu NYANYEMBE EMPIRE,NYAMWEZI LAND a.k.a MBOKA MANYEMA almaarufu kama TABORA. Laki moja unatumia miezi miwili kwa matumizi ya nyumbani.
Shukraan, Nimebahatika kutembea mikoa kadhaa lakini kwa bahati ndogo tu siku wahi kufika Singhida ispokuwa kupitiliza !! Lakini nimeshaweka note na schdl. za kutemblea mustakabalin....Kabla ya Maji hayo kutoweka au kukauka maana naona Yamepungua vibaya sana. Tuombe mungu atuongezee mvua.kila la kheiri.
Kilimanjaro
njoo unyakyusan kwa wosom! Greeen baaby!(mbeeeyaaaaaJamani mimi natafuta mkoa mzuri wa kuishi ambako maisha ni ahueni! Nijuzeni waungwani!