deejo
Member
- Dec 19, 2011
- 29
- 7
M'kiti wa freemasonry akihojiwa na Gerald Hando wa clouds TV asema kuwa freemason hamna ubaya na hamna mahela km wengi wanavyodhani bali it's all about networking na kusaidia jamii.Kaipamba freemasonry vibaya sana na kukaribisha watu wajiunge. Ama dunia imeisha, yani mambo hadharani!