Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Nimekuelewa vizuri sana. Naamini kabisa wewe Mshana unajua kwamba maendeleo yanakuja gradually, kumbuka hata huko kaskazini hakuna mwananchi aliyejituma akajenga barabara yake, akajitengenezea umeme na kuunganisha kwenye grid ya taifa n.k so unaposema kwamba wananchi wa Chato wanapelekewa maendeleo wasiyokuwa na uwezo nayo ni kuwakosea heshima. Hata hiyo Kasikazini kuendelea kuna mkono wa serikali, lazima ukubali hilo. Nadhani ingekuwa vizuri sasa nawewe ukaishauri serikali kuendelea kuzifikia sehemu ambazo kwa muda mrefu zimekuwa kama zimesahaulika kwa upande wa elimu, afya, miundombinu ikiwemo barabara, reli, viwanja vya ndege na michezo, umeme na huduma nyingine za kijamii ikiwemo banks, mahakama, maji safi na salama nk
Umesoma na kuelewa nilichoandika lakini?

Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio kwanza tuna improve
Kwa takwimu za serikali za sasa, kilimanjaro ni mkoa wa pili kwa watu wake kuwa na maisha Bora
Yaani 90% ya Wana Kilimanjaro Wana maisha Bora tunataka kufikia 100% kabisa
Kule kilimanjaro shughuli za maendeleo watu wanachangia Sana mfano vunjo wananchi walichanga bilion 7 kukarabati barabara zote za jimbo hii kitu haijawahi
TOkea popote Tanzania
Kuna mengi ya kujifunza

Sent using Jamii Forums mobile app
Ficha ujinga wako

wananchi ndo walileta umeme huko au ni serikali?.
Barabara na hosp imejenga serikali ama watu?.
Kuna mkono mkubwa wa fedha za serikali hapo
 
Kaka Mshana, hata mzee Benjamini alifungua ukanda wa kusini kwa daraja na Barabara.Mkumbuke mzee CD, akiwa pm.Shida sisi twajiona tunajua mno.

Ndio maana tunahesabiwa katika kundi la watu wasio na furaha Duniani. Hivi kweli jirani zetu, waliotuzunguka wana furaha kweli?

Mwamba ngoma huvutia kwake,


Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Natambua wingi wa matukio na harakati za maisha vinatufanya kuangalia mapya bila kutafakari yaliyopita..
Wiki hii kulikuwa na mjadala mwingine baada ya kuzinduliwa Mahakama ya mwanzo CHATO ikitajwa kama mahaka kubwa na nzuri kulinganisha na Mahakama nyingine za mwanzo TANZANIA

Tangu awamu hii ishike hatamu mambo mengi ya kimaendelea yamefanyika CHATO... Kwa kutaja chache tu

Traffic lights
Jengo kubwa la Bank ya CRDB
Jengo la mamlaka ya mapato TRA
Mbuga ya wanyama
Uwanja wa ndege
Uwanja wa mpira
Msikiti mkubwa nknk
Malalamiko yamekuwa mengi kuwa kuna upendeleo unafanywa kuipa CHATO maendeleo isiyostahili
Ni lazima tukumbuke kanuni hii muhimu ya BINADAMU kwamba MWAMBA NGOMA NGOZI HUVUTIA KWAKE... Ni baba wa Taifa pekee hayati Mwalimu J. K. Nyerere ambaye alienda tofauti na kauli hii na kidogo akafuatiwa na Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa

Alipoingia madarakani brother Jakaya mambo yakawa tofauti... Akaamua kutumia nafasi yake kuwasaidia watu wa kwake.. Aamejitahidi kadiri alivyoweza kuiamsha Pwani.. Miradi mingi ikipelekwa huko ama Pwani ikipewa kipaumbele... Ombwe halikuonekana sana kwakuwa pia Pwani ni eneo MKAKATI kwa ajili ya kuingia na kutoka Dar.

Hata hivi viwanda vya leo Pwani zilikuwa ni juhudi zake.. Lakini kuna mengine yakawa ni kama hayakuwa na ullazima wa kuyafanya... Leo hii kuna njia mbili za lami mpaka mlangoni kwake pale Msoga... Lakini kuna Msikiti mkubwa mzuri ulijenga pale Msoga barabarani siku hizi umezungukwa na nyasi. Hauhudumiwi tena

Natambua dhima ya kila kiongozi kutaka kusaidia eneo lake ili walau lifanane na kwingine... Natambua fika mawazoni mwao wanataka kuona maeneo yao yakifanana na kaskazini hasa ukanda wote wa Tanga, Moshi mpaka Arusha... Lakini huu ni mchakato mrefu wenye kuhitaji maandalizi na mpango MKAKATI a kina... Kielimu na kubadili mtazamo wa wenyeji wake

Watu wa kaskazini wako vizuri juu na chini pia na wnapenda sana kutumia vizuri fursa zilizopo, ni wabunifu na ni wachapakazi.. Hawana majungu na wanathamini kila kitu kizuri.. Wanapenda UMOJA na kushirikishana... Wanajua vizuri thamani ya elimu ardhi na rasilimali watu....

Maendeleo yaliyojaribu kupelekwa CHATO na PWANI yangepelekwa kaskazini... kisinheharibika hata kitu kimoja na kingetumiwa kwa weledi mkubwa na kuleta matokeo chanya zaidi... Lakini la zaidi huko kote wanaosimania na kujaribu kuleta matokeo hayo chanya bado ni wale wale wa kaskazini!

Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.

Siwezi kuizungumzia CHATO kwasasa lakini haina tofauti sana na Pwani... Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.... Labda wa kaskazini wafanye jitihada kuokoa jahazi kwakuwa maono yao ni makubwa na uelewa wao uko deep zaidi...

Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtoto aliyekulia nyumba ya nyasi na aliyekulia nyumba ya bati na sakafu...

Nimemaliza...!!!!

Jr
Pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msoga pia ilikuwa maarufu kwa nyakati zake

Jr
Hivi msikiti wa msoga ulijengwa na serikali? Nadhani ni barabara tu iliyopendelewa msoga, kitu ambacho si kikbwa hivyo kulalamika. Kanjia ka kufika wageni wa rais kwake.
 
Nadhani ni barabara tu iliyopendelewa msoga, kitu ambacho si kikbwa hivyo kulalamika. Kanjia ka kufika wageni wa rais kwake.
Hivi msikiti wa msoga ulijengwa na serikali? Nadhani ni barabara tu iliyopendelewa msoga, kitu ambacho si kikbwa hivyo kulalamika. Kanjia ka kufika wageni wa rais kwake.

Jr
 
Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.

Siwezi kuizungumzia CHATO kwasasa lakini haina tofauti sana na Pwani... Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.... Labda wa kaskazini wafanye jitihada kuokoa jahazi kwakuwa maono yao ni makubwa na uelewa wao uko deep zaidi...
nimekuwekea hapo naomba pls nipe tafsiri yako kulinganisha na nilichoandika.. Nia sio malumbano bali ni kuelimishana na kuwekana sawa

Jr
Kumbe na wewe Jamaa ni mpuuzi hivi. Maendeleo ya watanzania leo una maana kila sehemu yanaletwa na watu wa kaskazini ? Mbona mmeshindwa kuifanya Moshi kuwa Jiji au Tanga kuwa jiji kubwa ? Mbona hiyo Arusha bado cha mtoto kwa Jiji la Mwanza? Huko Tanga na umasaini kuna nini cha maana kuzidi Sukumaland ? Nimetembea kote milimani upareni sikuona chochote cha maana zaidi ya vijumba vya hovyo hovyo na migomba isiyo na afya, leo unakuja na post ya kijinga namna hii ! Pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilimanjaro kuna watu ? Huko ni makaburini tu pa kwenda kuzika. 59% wote mmepakimbia. Mmebaki kubweka kama mbwa.
Dodoma hiyo ya ku boostiwa?
Mbona Dodoma wananchi ni maskini Sana?
Kilimandjaro ni mkoa wa pili watu wake kuishi maisha Bora na makazi Bora kwa 90%
Wakati kule Dodoma wanalala nyumba zimefanana na banda lá kuku kule moshi
PILI kilimanjaro Hakuna shida za maji,umeme, zahanati lkn dodoma ndio sasahv wanajengewa na serikali ndio ufananishe na kilimanjaro?
Kilimanjaro wananchi wanajitoa sana ktk maendeleo,mfano vunjo mwaka jana wananchi walichanga bilion 7 kukarabati barabara zote za jimbo dodoma wana uwezo huo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natambua wingi wa matukio na harakati za maisha vinatufanya kuangalia mapya bila kutafakari yaliyopita..
Wiki hii kulikuwa na mjadala mwingine baada ya kuzinduliwa Mahakama ya mwanzo CHATO ikitajwa kama mahaka kubwa na nzuri kulinganisha na Mahakama nyingine za mwanzo TANZANIA

Tangu awamu hii ishike hatamu mambo mengi ya kimaendelea yamefanyika CHATO... Kwa kutaja chache tu

Traffic lights
Jengo kubwa la Bank ya CRDB
Jengo la mamlaka ya mapato TRA
Mbuga ya wanyama
Uwanja wa ndege
Uwanja wa mpira
Msikiti mkubwa nknk
Malalamiko yamekuwa mengi kuwa kuna upendeleo unafanywa kuipa CHATO maendeleo isiyostahili
Ni lazima tukumbuke kanuni hii muhimu ya BINADAMU kwamba MWAMBA NGOMA NGOZI HUVUTIA KWAKE... Ni baba wa Taifa pekee hayati Mwalimu J. K. Nyerere ambaye alienda tofauti na kauli hii na kidogo akafuatiwa na Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa

Alipoingia madarakani brother Jakaya mambo yakawa tofauti... Akaamua kutumia nafasi yake kuwasaidia watu wa kwake.. Aamejitahidi kadiri alivyoweza kuiamsha Pwani.. Miradi mingi ikipelekwa huko ama Pwani ikipewa kipaumbele... Ombwe halikuonekana sana kwakuwa pia Pwani ni eneo MKAKATI kwa ajili ya kuingia na kutoka Dar.

Hata hivi viwanda vya leo Pwani zilikuwa ni juhudi zake.. Lakini kuna mengine yakawa ni kama hayakuwa na ullazima wa kuyafanya... Leo hii kuna njia mbili za lami mpaka mlangoni kwake pale Msoga... Lakini kuna Msikiti mkubwa mzuri ulijenga pale Msoga barabarani siku hizi umezungukwa na nyasi. Hauhudumiwi tena

Natambua dhima ya kila kiongozi kutaka kusaidia eneo lake ili walau lifanane na kwingine... Natambua fika mawazoni mwao wanataka kuona maeneo yao yakifanana na kaskazini hasa ukanda wote wa Tanga, Moshi mpaka Arusha... Lakini huu ni mchakato mrefu wenye kuhitaji maandalizi na mpango MKAKATI a kina... Kielimu na kubadili mtazamo wa wenyeji wake

Watu wa kaskazini wako vizuri juu na chini pia na wnapenda sana kutumia vizuri fursa zilizopo, ni wabunifu na ni wachapakazi.. Hawana majungu na wanathamini kila kitu kizuri.. Wanapenda UMOJA na kushirikishana... Wanajua vizuri thamani ya elimu ardhi na rasilimali watu....

Maendeleo yaliyojaribu kupelekwa CHATO na PWANI yangepelekwa kaskazini... kisinheharibika hata kitu kimoja na kingetumiwa kwa weledi mkubwa na kuleta matokeo chanya zaidi... Lakini la zaidi huko kote wanaosimania na kujaribu kuleta matokeo hayo chanya bado ni wale wale wa kaskazini!

Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.

Siwezi kuizungumzia CHATO kwasasa lakini haina tofauti sana na Pwani... Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.... Labda wa kaskazini wafanye jitihada kuokoa jahazi kwakuwa maono yao ni makubwa na uelewa wao uko deep zaidi...

Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtoto aliyekulia nyumba ya nyasi na aliyekulia nyumba ya bati na sakafu...

Nimemaliza...!!!!

Jr

Kwa ufupi Nguruwe hata umjengee banda la kisasa na kusakafia vizuri bado yeye atachimba sakafu mpaka apate ardhi na atabomoa ukuta ili arudi porini alikozoea
 
Hako kaeneo ka Kilimanjaro ni kadogo sana na ndio maana mnatangatanga nchi nzima kufafuta maisha. Mtu unamiliki robo eka ya migomba halafu unajiona eti tajiri. Kwa akili zenu hizi, Ikulu mtaisikia tu, hamtaingia kamwe
Naam kina @zakale wao wanasubiri kujengewa Sisi tulishajenga na tunazidi kuboresha
Mambo ya hospital za wilaya,vituo vya afya nk kule kilimanjaro ni tangu 1980's wao ndio wanajengewa sasahv

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mind setting... Una mifugo mingi lakini kila ukiuza pesa unafutika mchagoni
Una mifugo mingi lakini haina afya nzuri
Una mifugo mingi lakini familia inaishi mazingira magumu kuanzia lishe mpaka elimu na mahitaji mengine muhimu... Hili tatizo lipo hata umasaini... Mifugo inapewa thamani kubwa kuliko BINADAMU lakini wamasai sasa wameanza kubadilika

Jr
Viwanda vya maziwa na products za maziwa mfani Simanjiro pamoja na viwanda vya nyama vinamilikiwa na Wamasai.

Asilimia ndogo ndio inamilikiwa na serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Mshana aendelee tu kuandika habari za ushirikina na uchawi tu ndicho kitu anachokiweza. Kwa akili hii ndio maana huko kwao upareni mpaka leo jamii moja hawaelewani wa Mwanga na Same wanabaguana sana katika nyanja mbalimbali. Halafu mijitu kama hii tuiruhusu iende Ikulu, thubutu patachimbika.
Siongei kishabiki, ila kasi ya ukuaji wa miji ambayo ipo kandokando ya ziwa Victoria na karibu na miji mikubwa huwa kubwa sana. Kilichokuwa kinaleta shida ni mpangilio mbovu wa Miji.

Nani atakaa Chato? Kwanza wapo waliopo lakini pia itategemea kasi ya ukuaji wa kiuchumi. Ki-nchi tunaweza kusema eneo hilo si landlocked kwa sababu linapakana na ziwa Victoria (kuna bandari kongwe ambayo iliwekwa na Wakoloni, na nafikiri unajua sehemu mkoloni alipoweka miundombinu kama hiyo alikuwa anafikiria mbali kiasi gani), Mji wa Geita, Mkoa wa Kagera na urahisi wa kufika Nchi za Rwanda na Uganda.

Kwani kipi cha kushangaza kuanzishwa Chato? Barabara? Majengo ya huduma za kijamii? Uwanja wa ndege.

Kwa hili la Uwanja wa ndege ni vyema kujikumbusha ilipoanzishwa Kia eneo ulipo Uwanja halafu rudi miaka zaidi ya 30 nyuma, Mtu angejiuliza 'unajenga vipi Kiwanja cha Kimataifa porini!' Kumbuka wakati huo zao linaloingiza fedha nyingi za kigeni ni Pamba, Katani na Korosho.

Hapa ndipo inakuja hoja hii aspect ya 'Kaskazini' ndo wenye maono kama Mtanzania mzalendo siwezi kuiunga mkono, ni kuchochea chuki.

Na ushauri wangu, Chama chochote cha siasa kisije kujinasibisha na hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa wa manispaa ya moshi wanajiona wajanja sana wakati Dodoma imewapita hivi hivi na kuwa jiji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi una Akili?

Unafananisha Dodoma ambayo wagogo wamejengewa kila kitu na serikali?

Wao washukuru kuwa Dodoma ipo katikati ya nchi, sababu iliyomfanya Baba wa Taifa kupafanya makao makuu.

Wagogo ni Wavivu wa mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe jamaa sijui hata kanda ya ziwa umeshafika, maana kila unachopost ni uharo tu na kukurupuka. Unalinganisha mmsai na msukuma wewe ? We jitekenye tu hujui kitu.
Weweee
Nenda nshamba pâle centre wachaga kibao wana maduka,pâle bukoba mjini ndio usiseme
Hakuna popote Tanzania utakosa investment ya mchaga
Kuhusu kuolewa na nshomile,washomile wanaoa Sana uchagani ili wapate akili ya kimaendeleo,huez ukaoa mchaga alafu ukakosa maendeleo
Hata kina mkapa,sumaye,warioba,bomani ni wameoa uchagani upo?


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni upuuzi bro eti yale ya chato yangepelekwa kaskazini kisingeharibika kitu, acha ujinga wewe hata huko chato hakitaharibika kitu usijifanye kwenu mnaakili sana kuliko watu wa chato
 
Back
Top Bottom