Monchengladbach
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 703
- 514
Hata tungepigwa na tsunami Kama akili ipo ipo tu,kumbuka maendeleo yanaanzia kwenye mindset za watu sio vituKagera imepigwa vita plus majanga na matukio ndo yameishusha.
Mngepigwa na hayo majanga na kakilimanjaro kalivyo sidhani kama mngesimama kama ilivyokagera.
Mv bukoba,vita ya kagera,elnino, ukimwi,mnyauko, pamoja na Baba Lao tetemeko yote yameugusa mkoa mmoja na bila ya recovery yoyote lakin upo na umesimama mpaka leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana pwani Kuna vitu Ila watu hawana mindset hadi mkuranga, kisarawe bagamoyo wachaga wameinunua karibu wanamaliza
Sent using Jamii Forums mobile app





