Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 370,763
- 858,503
- Thread starter
- #21
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji736]
Jr[emoji769]
Ukizungumzia maendeleo ya kanda ya Kaskazini usisahau kuna kanda ya ziwa pia.
Siku zote ni huwa Mwanza vs Arusha na Moshi vs Kagera na si Chato vs Kaskazini.
Lakini kwanini haya yote ni chato kama si ubinafsi wakati Kagera hawana hata stendi ya mabasi ya kueleweka.
Jr[emoji769]