Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

.
tapatalk_1576844226037.jpeg


Jr
 
Uko sahihi, kwa kifupi watu wa kaskazini hasa Kilimanjaro ni wabaguzi sana na wanapenda kujipendelea wao pia kila kitu kizuri wanataka kiwe chao.

Sasa hauwezi kujenga nchi kubwa kama Tanzania yenye makabila zaidi ya mia moja kwa mtazamo wa ubaguzi.

Magufuli anajenga chato ni vizuri, ila pia tumeona Arusha kumejengwa Barabara za kisasa, dar es salaam zinajengwa, dodoma zinajengwa, Mwanza zinajengwa n.k

Hivyo mada za ubaguzi ni mbaya sana kwa nchi kubwa kama Tanzania
True hawezi fafanua nilichomuuliza kwa kuwa hakuna 'substance'

Wamekariri ya miaka ya nyuma
Watizame sasa na watizame mbele itakuwaje

Ukanda wont matter...everyone is exposed
It will js be TZ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.

Siwezi kuizungumzia CHATO kwasasa lakini haina tofauti sana na Pwani... Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.... Labda wa kaskazini wafanye jitihada kuokoa jahazi kwakuwa maono yao ni makubwa na uelewa wao uko deep zaidi...
nimekuwekea hapo naomba pls nipe tafsiri yako kulinganisha na nilichoandika.. Nia sio malumbano bali ni kuelimishana na kuwekana sawa

Jr
Kwa hiyo bila kaskazini hakuna maendeleo?

Mbona siku hizi Watu kutoka kanda zote wachakarikaji na wanafanya maendeleo makubwa tu.

Pita Geita, Kahama, Mwanza kuna kila kitu kinachopatikana hiyo kanda ya Kaskazini. Bahati nzuri sisi wengine mikoa yote Nchi hii tumepita na kurudia. Kuanzia Majengo Moshi, Hedaru, Katoro, Tunduma nk.

Hakuna Watu wa 'kanda' flani wanaohodhi maendeleo au elimu
 
Wachaga na watu wa Kas kazini acheni kuishi Tanznaia ya Miaka 30 iliyopita!

Sasa hivi kila mtanzania ana exposure, amesoma, siyo kama zamani mchaga pekee ndio alikuwa biashara anajua yeye, kazi za maofisini anajua yeye tu!

Sasa hivi kila mtu ni mjanja. Fursa ikijitokeza kila Kabila linaiona na kuifanyia kazi.

Sasa ndugu zangu wa Kas kazini bado mna akili za miaka ya nyuma hamtaki kukubali ukweli kwamba fursa mlizokuwa mnazi fanya ninyi siku hizi kila mtanzania anamudu kuzifanya! Ndio maana mnaona kama mnaonewa na utawala huu maana kila mnapoenda mnakuta watu wameshawahi

Kubalini kwamba watanzania wa kila Kabila wanasoma na wamejanjaruka siku hizi.

Hakuna kinachodumu milele. Poleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mikono yako mwenyewe umeamua kuandika huu ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
platozoom unataja maeneo ambayo wala hayapo kwenye mada yangu.. Naona kwenye mada nzima na kila nilichoandika havijadiliwi tena bali tumebaki na ukabila.. Rudia kusoma tena pls
Kwa hiyo bila kaskazini hakuna maendeleo?

Mbona siku hizi Watu kutoka kanda zote wachakarikaji na wanafanya maendeleo makubwa tu.

Pita Geita, Kahama, Mwanza kuna kila kitu kinachopatikana hiyo kanda ya Kaskazini. Bahati nzuri sisi wengine mikoa yote Nchi hii tumepita na kurudia. Kuanzia Majengo Moshi, Hedaru, Katoro, Tunduma nk.

Hakuna Watu wa 'kanda' flani wanaohodhi maendeleo au elimu

Jr
 
Wachaga na watu wa Kas kazini acheni kuishi Tanznaia ya Miaka 30 iliyopita!

Sasa hivi kila mtanzania ana exposure, amesoma, siyo kama zamani mchaga pekee ndio alikuwa biashara anajua yeye, kazi za maofisini anajua yeye tu!

Sasa hivi kila mtu ni mjanja. Fursa ikijitokeza kila Kabila linaiona na kuifanyia kazi.

Sasa ndugu zangu wa Kas kazini bado mna akili za miaka ya nyuma hamtaki kukubali ukweli kwamba fursa mlizokuwa mnazi fanya ninyi siku hizi kila mtanzania anamudu kuzifanya! Ndio maana mnaona kama mnaonewa na utawala huu maana kila mnapoenda mnakuta watu wameshawahi

Kubalini kwamba watanzania wa kila Kabila wanasoma na wamejanjaruka siku hizi.

Hakuna kinachodumu milele. Poleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
upo sahihi ndg.
wakinga licha ya kusemwa kwamba ni washirikina na wachawi, leo hii wanaenda sambamba na watu wa kaskazini katika biashara.
 
Nawapongeza sana na ni upcoming billionaires... Japo kielimu bado ila kwa biashara wanakuja kwa kasi sana
upo sahihi ndg.
wakinga licha ya kusemwa kwamba ni washirikina na wachawi, leo hii wanaenda sambamba na watu wa kaskazini katika biashara.

Jr
 
Wachaga na watu wa Kas kazini acheni kuishi Tanznaia ya Miaka 30 iliyopita!

Sasa hivi kila mtanzania ana exposure, amesoma, siyo kama zamani mchaga pekee ndio alikuwa biashara anajua yeye, kazi za maofisini anajua yeye tu!

Sasa hivi kila mtu ni mjanja. Fursa ikijitokeza kila Kabila linaiona na kuifanyia kazi.

Sasa ndugu zangu wa Kas kazini bado mna akili za miaka ya nyuma hamtaki kukubali ukweli kwamba fursa mlizokuwa mnazi fanya ninyi siku hizi kila mtanzania anamudu kuzifanya! Ndio maana mnaona kama mnaonewa na utawala huu maana kila mnapoenda mnakuta watu wameshawahi

Kubalini kwamba watanzania wa kila Kabila wanasoma na wamejanjaruka siku hizi.

Hakuna kinachodumu milele. Poleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatujakataa
Lakin bado ktk nyanja ya exposure au kusoma, kaskazini ipo juu yaani ime maintain,hivi Kuna taasisi gan utawakosa?
Kuna eneo gan tz utamkosa mchaga? Hii Ni exposure ya Hali ya juu kbs kimsingi bado sana kutufikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom