nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,033
- 2,949
Dar hiyo yenye mafuriko ndio maisha mazuri. Hauko serious
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio kwanza tuna improve
Kwa takwimu za serikali za sasa, kilimanjaro ni mkoa wa pili kwa watu wake kuwa na maisha Bora
Yaani 90% ya Wana Kilimanjaro Wana maisha Bora tunataka kufikia 100% kabisa
Kule kilimanjaro shughuli za maendeleo watu wanachangia Sana mfano vunjo wananchi walichanga bilion 7 kukarabati barabara zote za jimbo hii kitu haijawahi
TOkea popote Tanzania
Kuna mengi ya kujifunza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app