LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,511
Mshana plsssss read para zako za mwisho tena[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]LadyRed kuna mahali nimezungumzia makabila na ukabila? Ninaposema kaskazini unapata tafsiri gani?
Je si kweli kwamba pamoja na Pwani kubebwa vilivyo lakini wenyeji wake wameshindwa kabisa kujitambua..?
LadyRed rafiki toka kwenye hilo box la fikra finyu uione hii post katika mtazamo mpana zaidi utanielewa
Jr[emoji769]
Usitufanye hatujui kutafsiri