Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

LadyRed kuna mahali nimezungumzia makabila na ukabila? Ninaposema kaskazini unapata tafsiri gani?
Je si kweli kwamba pamoja na Pwani kubebwa vilivyo lakini wenyeji wake wameshindwa kabisa kujitambua..?
LadyRed rafiki toka kwenye hilo box la fikra finyu uione hii post katika mtazamo mpana zaidi utanielewa

Jr
Mshana plsssss read para zako za mwisho tena
Usitufanye hatujui kutafsiri
 
Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.

Siwezi kuizungumzia CHATO kwasasa lakini haina tofauti sana na Pwani... Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.... Labda wa kaskazini wafanye jitihada kuokoa jahazi kwakuwa maono yao ni makubwa na uelewa wao uko deep zaidi...
Mshana plsssss read para zako za mwisho tena
Usitufanye hatujui kutafsiri
nimekuwekea hapo naomba pls nipe tafsiri yako kulinganisha na nilichoandika.. Nia sio malumbano bali ni kuelimishana na kuwekana sawa

Jr
 
Mshana Jr mtizamo mpana ni kwamba kila mtu anasoma siku hizi na kila mtu ana biashara sikuhizi

Sio tu makabila yaliyokaririwa

Hamjajifunza tu bado?..
Kuna service gani special Kaskazini ambayo Kanda zingine hawana?.
 
Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.

Siwezi kuizungumzia CHATO kwasasa lakini haina tofauti sana na Pwani... Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.... Labda wa kaskazini wafanye jitihada kuokoa jahazi kwakuwa maono yao ni makubwa na uelewa wao uko deep zaidi...


Jr
Unaposema labda wa kaskazini sijui waokoe jahazi and shi.t unamaanisha nini?.mnajikutaga keki ila i assure you kwa ulikwengu wa sasa hamna jipya ambalo makabila wengine hawana kama lipo litaje hapa tumalize mzizi wa fitna
 
Sio upuuzi, Bali huo ndio ukweli.
Jitu zima unaleta hoja za kitoto kabisa , huo ni ushamba na ubaguzi wa hali ya juu kabisa.

Unafikiri hatujui historia ya alichofanya Cleopa Msuya kipindi akiwa Waziri mkuu huyo mpare mwenzako?

Unajua alichofanya Fredrick Sumaye au Edward Lowasa kwa vipindi vyao vya Uwaziri mkuu?
Hayo ni machache.

Hivyo hizo story waache watoto wabishane wasiojua historia ya hii nchi.
Wapuuzi huwa hawajibiwi.....

Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twende kwa mifano ukizingatia nilichoandika kwenye mada husika... Kwa mfano hakuna nilipozungumzia biashara lakini naona umeitaja ni vizuri kwakuwa unapanua mjadala
Mshana Jr mtizamo mpana ni kwamba kila mtu anasoma siku hizi na kila mtu ana biashara sikuhizi

Sio tu makabila yaliyokaririwa

Hamjajifunza tu bado?..
Kuna service gani special Kaskazini ambayo Kanda zingine hawana?.

Jr
 
Bado naona unastick na makabila.. Mimi nataka utoke huko... Halafu rafiki relax tafadhali mbona tunajadiliana kawaida tu? Au huwezi mijadala kama hii?
Unaposema labda wa kaskazini sijui waokoe jahazi and shi.t unamaanisha nini?.mnajikutaga keki ila i assure you kwa ulikwengu wa sasa hamna jipya ambalo makabila wengine hawana kama lipo litaje hapa tumalize mzizi wa fitna

Jr
 
Ngoja next time aje wa "kanda ya nywnda za juu kusini"! Tutakuwa tunatengeneza ukanda na sio mikoa. Siku mkokisea mkawapa rungu ndugu zangu wa kaskazini, tutafanya Moshi kuwa makao makuu ya nchi
 
Bado naona unastick na makabila.. Mimi nataka utoke huko... Halafu rafiki relax tafadhali mbona tunajadiliana kawaida tu? Au huwezi mijadala kama hii?

Jr
Mada yako was perfect
Ulipoharibu ni hapo ulipoingiza Kaskazini
Mada was abt Chattle na Msoga

Kaskazi kumeingiaje?...
 
Hivi kaskazini ni Moshi pekee?
Ngoja next time aje wa "kanda ya nywnda za juu kusini"! Tutakuwa tunatengeneza ukanda na sio mikoa. Siku mkokisea mkawapa rungu ndugu zangu wa kaskazini, tutafanya Moshi kuwa makao makuu ya nchi

Jr
 
Huyo mshana mda mwingine anakuwa na mada nzuri , wakati mwingine anajisahau sababu ya unazi wa kisiasa.
Mada kama yake ilitakiwa aanzishe mtoto mdogo asiyejua historia ya hii nchi, ila cha ajabu mtu mzima ambaye ana heshimika na baadhi ya watu hapa JF ndio amekuwa wa kwanza kuanzisha mada ya kipumbavu na kishamba kabisa.

Tanzania ni moja , ikiendelezwa Chato , Msoga, Mbeya, Moshi, Arusha, Mwanza, Dodoma, kigoma, moro n.k yote ni maendeleo tu.
Kaskazini hamna vibarua?..
Huo uelewa deep na maono ni yapi.??

Labda utuelimishe?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado naona unastick na makabila.. Mimi nataka utoke huko... Halafu rafiki relax tafadhali mbona tunajadiliana kawaida tu? Au huwezi mijadala kama hii?

Jr
U started it

Swali langu ni simple

Ulipoandika labda wa kaskazini waje waokoe jahazi kwa kua wana maono nk ulimaanisha nini?.

Mbona hukutaja nyanda za kusini?..

Usiruke rule fafanua ulichomaanisha ili tukuelewe na tukupe ukweli
 
Umepata tafsiri gani juu ya kaskazini kwani
Mada yako was perfect
Ulipoharibu ni hapo ulipoingiza Kaskazini
Mada was abt Chattle na Msoga

Kaskazi kumeingiaje?...

Jr
 
Inabidi nyumbani kwenu wabaki na historia nzuri kwako uliwafanyia nini wakati umeshika mpini,wako sahihi JK na JPM.
 
Yes nimeandika hivyo wala siwezi kupingana na maandiko yangu.. Sijaanzisha chochote kinachotaja ukabila... Hii ni tafsiri yako unayotaka nikubaliane nayo.. Kitu ambacho sio sahihi
U started it

Swali langu ni simple

Ulipoandika labda wa kaskazini waje waokoe jahazi kwa kua wana maono nk ulimaanisha nini?.

Mbona hukutaja nyanda za kusini?..

Usiruke rule fafanua ulichomaanisha ili tukuelewe na tukupe ukweli

Jr
 
Back
Top Bottom