omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
Heshima mbele wana MMU,
Nami nimeona sio mbaya kupitia huku walau mara moja. Hoja yenyewe ni kama ilivyo:
Mke wangu ametubu kutembea nje ya ndoa nilipokuwa safarini. Hii ilikuwa baada ya kukuta kondomu iliyotumika ambayo pia ndio aina ambayo huwa nami natumia. Nimsamehe? Tumekuwa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka sita na tumejaaliwa watoto wa kiume wawili.
For more: My wife admitted cheating on me, should I forgive her? - DN2 - nation.co.keMy wife admitted cheating on me, should I forgive her? - DN2 - nation.co.ke
Nami nimeona sio mbaya kupitia huku walau mara moja. Hoja yenyewe ni kama ilivyo:
Mke wangu ametubu kutembea nje ya ndoa nilipokuwa safarini. Hii ilikuwa baada ya kukuta kondomu iliyotumika ambayo pia ndio aina ambayo huwa nami natumia. Nimsamehe? Tumekuwa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka sita na tumejaaliwa watoto wa kiume wawili.
For more: My wife admitted cheating on me, should I forgive her? - DN2 - nation.co.keMy wife admitted cheating on me, should I forgive her? - DN2 - nation.co.ke