DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,311
- 109,418
Sahii kabisaMkuu Hawa watu akishakuwa na kazi na kuweza kupata mkopo wa kununua gari usitegemee atakuwa chini yako Tena.
Yaani kama ni maisha wewe kula Bata tu.
Maana dharau kama zote!!
Hakuna anachofanya kama mama ndani ya nyumba
Kila kitu anafanya hg.
Ila wewe anataka uwajibike kama baba.
Sent using Jamii Forums mobile app


, ndio mana case za kijinga haziishi MMU simply kwasababu mna entertain vitu vinavyo kuharibu ww mwenyew,uliskia wapi kua Long distance relationship ni relationship? Mbona haijameet hata minimum requirements ya r.ship?