Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,791
Mdomo koma 😷😷
Mawazo ya kugongea hayapo kichwani kaka, kilichopo kichwani ni kukaa mbali na familia, maana nawaza akiondoka maana yake anaondok na mtoto, unajua vile familia changa zinavuokuwa. Napenda afanya kazi, issue ni hiyo distance tuAchana na mawazo ya kugongewa, acha akafanye kazi kama kugongwa anaweza kugongwa hapa hapa dar
😂😂kizuri kula na nduguyo, kwa wanabukoba nyie wadaslam ni ndugu zetu kabisa hadi tuna mtaa wetu huko magomeni unaitwa Kagera.. Natanguliza shukrani 🙏 .
Mkuu acha akafanye kazi, wewe na mkeo bado wote ni wapambanaji. Mnaweza panga vizuri namna ya kuishi kama familia katika hali ya umbali. Kuna watu waume zao wapo USA wake TZMawazo ya kugongea hayapo kichwani kaka, kilichopo kichwani ni kukaa mbali na familia, maana nawaza akiondoka maana yake anaondok na mtoto, unajua vile familia changa zinavuokuwa. Napenda afanya kazi, issue ni hiyo distance tu
Nin shida Shemeji? 🤣🤣Mdomo koma 😷😷
Dah mapemaaYou're officially Single.
Single Father.
acha roho mbaya, wanabukoba tumekukosea ninii, mbususu hatujazaliwa nazo tumezikuta humu humu, yeye alipokuwa kabla ya daslam wangeamua kumshikilia angempata?Rejea Uzi wangu
"Hakuna ndoa ya mume na mke kuishi sehemu tofauti"
Ukitaka kuthibitisha hili wewe kaa miezi 6 tu. Utanipa jibu.
Wewe mwenyewe ndiye utaanza kugonga nje na yeye huko atagongwa nje then.
Then hatari zaidi ni kwamba amepata kazi ambayo ataweza kujisimamia.
All in all hapo hakuna ndoa.
Chukua screen shot hii post.
Habarini wana jamvi!
Ebhana wife kapata kazi Mkoa wa Kagera na kazi ni nzuri, amekaa muda mrefu bila kazi takriban 5 yrs. Lkn kwa sasa ana mtoto mdogo, binafsi si kwamba sipendi akafanye kazi, ila naona kama ni mbali sana na nyumbani, Kagera to Dsm ni parefu mno.
Naomba maoni yenu aende ama atulie tu, kwa sasa ni mama wa nyumbani na yuko desperate kweli kupata kazi.
Funguka Mdau, Hapa matusi si pahala pake.
🤣🤣🤣 DahPole sana, watakupigia hadi achakae.
Kuna mazingira yanafanya Mwanamke ambaye sio Malaya kuwa malayaAende tu hakuna namna kama huna uwezo wa kureplace anachoenda kupata huko, achana na hofu za kugongewa kama ni malaya ni malaya tu hata ukimfungia.
Ahsante Mkuu kwa Ushauri!Mkuu usiruhusu mkeo aondoke na kama utamruhusu kufuatilia uhamisho iwe jambo priority kama ni serikalini.
WHY? Pesa ya mwanamke haiongezi thamani yoyote kwenye ndoa huwezi kuipima na umuhimu wa ndoa na watoto kama anataka kujisgughulisha jibane uanzishe biashara hapa hapa Dar huku akiendelea kuomba kazi zingine kama anapenda sana kufanya kazi.
Kama anakichwa kizuri tafuta her areas of interest anzisha biashara msupport
Hiki kicheko ni cha uchonganishiMuache aende![]()