Mke wangu kapata kazi Mkoani!

Mke wangu kapata kazi Mkoani!

Boss, Malaya hachagui location, hakuna haja ya kuishi kwa hofu, kama umekosea kuoa rekebisha hakuna namna.
Haelewi hilo,, huko maofisini pia wanachapika balaa....hapo ni tabia ya mtu tu sio kusema akiwa huku itakua hivi
 
Habarini wana jamvi!

Ebhana wife kapata kazi Mkoa wa Kagera na kazi ni nzuri, amekaa muda mrefu bila kazi takriban 5 yrs. Lakini kwa sasa ana mtoto mdogo, binafsi si kwamba sipendi akafanye kazi ila naona kama ni mbali sana na nyumbani, Kagera to Dsm ni parefu mno.

Naomba maoni yenu aende ama atulie tu, kwa sasa ni mama wa nyumbani na yuko desperate kweli kupata kazi.

Funguka Mdau, Hapa matusi si pahala pake.
Mpige ujauzito ndiyo aende jombaa akijifungua tena unampiga ingine huku ukimtafutia uhamisho,usipofanikiwa endelea kumpiga mimba za mfululizo tu ndiyo dawa yake
 
hapo bwana kaka nafikiri wewe ndo unamjua mkeo vizuri. unaelewa uvumilivu wake na nidhamu yake kwako. tumia hyo fursa kuamua bro.


#Ila kama ukionesha doubt kuhusu yeye kwenda, yan ikionekana ataenda kupigwa, basi akilijua hilo atafanya hvyo hvyo coz anajua hata asipo fanya bado utasema tu kapigwa.

#tena ukimzuia asiende kwasababu ya hyo hofu, basi amini nakwambia wataanza kumpigia hapo hapo kwako. tena atapigwa mpaka umuonee huruma. hivyo nakushauri tuliza akili, kaa naye muongee kifamilia, msikilize kwanza yeye vile anataka kisha na ww muunge mkono huku ukiweka tahadhari kiakili sana.
Bora apigwe kwako utajua kirahis utamuacha unafanya maisha yako, alafu kuna kitu hamuelewi vidume wa JF ,Issue hapa sio kupigwa,issue ni Reciprocation haipo ,sasa minimum requirements tu ya relationship inakua haipo zaid ya phone calls na txt msg,utaishi kweny r.ship kwa calls tu?

Alafu nikwambie hiyo ni form ya oneitis,Mwanaume unakua hauna options,unaji internalize na idea ya soulmate , ndio mana case za kijinga haziishi MMU simply kwasababu mna entertain vitu vinavyo kuharibu ww mwenyew,uliskia wapi kua Long distance relationship ni relationship? Mbona haijameet hata minimum requirements ya r.ship?

Thomas Rollo ameongea hili kweny The Rational Male mbona liko wazi.
 
Ataliwa tu!!! Kijana utakuja gundua wahenga kweny ndoa walikuwa smart kuliko sisi... Nawaona hapa wanavyoliwa mpaka naona huruma kwanza wanawake wanapenda safari na kujipiga picha kila kona huko ndo wanaenda kuliwa kama mkeo ni hawa wavaa visketi vifupi jiandae.
 
hapo una hatari ya kulipa kodi ya nyumba huko kagera anapoenda na kuhudumia familia huko na unapobaki wewe. Ukipiga hesabu cost mtakazokuja kuzipata kwa iyo distance unaweza ukakuta ni bora abaki tu na wewe maisha yaendelee. Ila kama anapenda kufanya kazi na wewe umeridhia mwache aje tutampokea tupe mawasiliano tukusaidie kulea huku kagera😂
 
Habarini wana jamvi!

Ebhana wife kapata kazi Mkoa wa Kagera na kazi ni nzuri, amekaa muda mrefu bila kazi takriban 5 yrs. Lakini kwa sasa ana mtoto mdogo, binafsi si kwamba sipendi akafanye kazi ila naona kama ni mbali sana na nyumbani, Kagera to Dsm ni parefu mno.

Naomba maoni yenu aende ama atulie tu, kwa sasa ni mama wa nyumbani na yuko desperate kweli kupata kazi.

Funguka Mdau, Hapa matusi si pahala pake.
Sikiliza broo,kama unajimudu tafuta kazi yyte aipige hapo karibu na nyumban sio lazima imuingizie kipato kikubwa hata kidogo ilhali ataweza kuwa busy na kua karibu na familia,,

Nb:hizi kazi za kutenganisha familia zinavunja sana ndoa,vishawishi n vingi.
 
Je ingekua ni wewe umepata kazi nje ya nchi na huwezi kusafirisha familia ungefanyeje??kuna madereva wa malori kwenye nyumba zao ni adimu lakini wake zao wameishi fresh na watoto.

Tusichojua ndoa ya kila mtu ina uniqueness. Ndoa hazifanani. Wewe kama unamjua mkeo kama mwanamke bora maana miaka 5 ushamjua pima...kama itafaa abaki basi wekeza investment ya kumfanya aingize nusu ya mshahara ambao angeupata kagera.

Watu weng hatujui kuwa upendo ndo unatakiwa uwe kipimo cha maamuzi. Kama mnapendana kaeni mweigh options. Communication muhimu sana. Kaeni kama wanandoa wewe mueleze doubts and questions na yeye umsikilize what she has to say. Panahitaji hekima sana baina yenu. Ushashauriwa huku na wadau sasa mada iwekwe mezani muongee muelewane. Ikawe kheri katika maamuz mtakayofanya.
Braza fatilia wake wa madereva wa malori wanavyoliwa,fatilia wake wa jamaa wanaosafiri safiri wanavyoliwa hovyo kuna mazingira yanachochea umalaya me nakuambia kama unaamini sawa kama huamini sawa,

Embu nenda kasome uzi wa kimsikhara wa mtaalam rikiboy alaf uje useme kitu hapa,

mfano jamaa yupo dar bibie kagera safar ya kutoka dar to kagera na kurud sio chini ya 200k unaichoma hapo barabarani unataka kusema atamudu kusafiri kila mwezi??

Mkuu kuruhusu mkeo aishi mbali na wewe n umeruhusu aliwe kirahisi angalau mkiwa nae atashindwa kutombeka hovyo lkn huko ataliwa tuu,,,

Alaf ukipiga mahesabu gharama za kusafiri either yeye au wewe kwenda kumsalim mwenzie ukiangalia hizo hasara unazoingia unaweza kuta ni zaidi ya mshahara anaolipwa,,,

Akili kumkichwa.
 
Kwanza ndoa kama haijafikisha miaka 10, jadilianeni kwanza kuwa muwazi tu kwake and how you feel, kama hauafiki yeye kwenda then jadilianeni jinsi ya kufanya alternative livelihood Ili awe busy.

Muulize kuhusu ujasiriamali na kipi anapenda, and then mjadiliane mnafikaje kwenye hiyo objective.

Sasa hapo ndio act kama kichwa Cha familia Sasa, lead the way with confidence.
Kwanini wasijadili ujasiriamali tangu mwanzo!?

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Kagera na Dar? Weka msimamo wa Hapana! No, Hapana, bora ndoa ikate!

Nili comment bila kusoma, Maana hata sikupenda kusoma!

Utakuja kujuta, endelea kuingia gharama za kumhudumia na ndo yenye Amani!

Mwanamke hata aajiriwe kama mwanajeshi wa kuongoza Russia Ukraine, hela yake hutaona, utaona dharau ya hela zake!

Hutanisikia kijana, ila utakuja kujuta huko mbele, hamjawa na bond kwa mtoto mmoja kwa mke kuelewa umuhimu wa ndoa na uaminifu.
Kila nikivuta picha wahaya walivyo na sifa roho inakataa kabisa
 
Ataliwa tu!!! Kijana utakuja gundua wahenga kweny ndoa walikuwa smart kuliko sisi... Nawaona hapa wanavyoliwa mpaka naona huruma kwanza wanawake wanapenda safari na kujipiga picha kila kona huko ndo wanaenda kuliwa kama mkeo ni hawa wavaa visketi vifupi jiandae.
Duh
Acheni kumtisha mwenzenu

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Rejea Uzi wangu
"Hakuna ndoa ya mume na mke kuishi sehemu tofauti"
Ukitaka kuthibitisha hili wewe kaa miezi 6 tu. Utanipa jibu.
Wewe mwenyewe ndiye utaanza kugonga nje na yeye huko atagongwa nje then.
Then hatari zaidi ni kwamba amepata kazi ambayo ataweza kujisimamia.
All in all hapo hakuna ndoa.
Chukua screen shot hii post.
Na huu ndo ukweli wenyewe yaan haipingiki ,
 
Nimeona nisisome comment yoyote ili nije na mawazo yangu binafsi

Kuhusu mkeo kufanya kazi Kagera na wewe huko Dar ni suala gumu sana katika malezi ya familia. Distance inapunguza upendo, distance inapunguza bond (kwa mkeo na mtoto) na distance inapunguza kujaliana. Kadri mtu anavyoenda mbali ndio hayo upungua

Jifikirie kuhusu upendo mtu anaopata kutoka kwa mwenza wake wakilala pamoja kila siku, ile kukumbatiwa, kupata joto, kuamshana, kushirikiana mawazo, kuonana, kubembelezana n.k hivyo vyote distance inaviua

Jifikirie kuhusu mwanao, kucheza nae, kukulilia, kumbeba apate joto lako, kumfundisha vitu, kum-please akilia, kumuonya, kumkanya akikosea vyote hivyo utavikosa ukiwa mbali

Gharama za kuwatembelea nazo ni kubwa sana kiasi kwamba itadisturb uchumi wako na ratiba yako

Kutunza nyumba mbili napo ni gharama sana. Kama umepanga utalipa kodi, umeme, maji, chakula n.k mara mbili mbili. Hii italeta kurudi nyuma kimaisha

Kuchepuka: Hili baada ya muda kupita haliepukiki kwa upande wako na kwa mkeo. Hapa katika kipindi cha miaka miwili ya mwanzo mnaweza kuvumilia ili baada ya hapo ni majanga tupu.

Kwa ushauri wangu kutoka moyoni kabisa nakuomba usimruhusu mkeo kwenda mbali nawe. Utapoteza mke na utapoteza familia. Pole sana yangu ni hayo tu
 
Mshahara anaoufuata I think ni 1.5m hivi, though ni unconfirmed. Lkn I can afford her needs and my family, ni vile tu naiona push ya ndg zake pia, si unawajua wabongo, kwamba walimsomesha so they expect ahudumie pia, mim sina neno sana na hilo ila Distance… It is too far away from home. Na bad enough ni kazi za private hata hawana branch maeneo ya karibu!
Yani huo uzungu wako unaoigiza
Mshahara anaoufuata I think ni 1.5m hivi, though ni unconfirmed. Lkn I can afford her needs and my family, ni vile tu naiona push ya ndg zake pia, si unawajua wabongo, kwamba walimsomesha so they expect ahudumie pia, mim sina neno sana na hilo ila Distance… It is too far away from home. Na bad enough ni kazi za private hata hawana branch maeneo ya karibu!
Huo uzungu unaoigiza, I promise you UTAKUGHARIMU PAKUBWA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom