Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,891
- 20,128
Haelewi hilo,, huko maofisini pia wanachapika balaa....hapo ni tabia ya mtu tu sio kusema akiwa huku itakua hiviBoss, Malaya hachagui location, hakuna haja ya kuishi kwa hofu, kama umekosea kuoa rekebisha hakuna namna.
, ndio mana case za kijinga haziishi MMU simply kwasababu mna entertain vitu vinavyo kuharibu ww mwenyew,uliskia wapi kua Long distance relationship ni relationship? Mbona haijameet hata minimum requirements ya r.ship? 

