Habarini wana jamvi!
Ebhana wife kapata kazi Mkoa wa Kagera na kazi ni nzuri, amekaa muda mrefu bila kazi takriban 5 yrs. Lakini kwa sasa ana mtoto mdogo, binafsi si kwamba sipendi akafanye kazi ila naona kama ni mbali sana na nyumbani, Kagera to Dsm ni parefu mno.
Naomba maoni yenu aende ama atulie tu, kwa sasa ni mama wa nyumbani na yuko desperate kweli kupata kazi.
Funguka Mdau, Hapa matusi si pahala pake.
Mimi hata sijui hata niseme nini, wanaume tumeumbwa kuteseka tu:
1. Kakaa miaka 4 bila Kazi, Hii Kazi ni muhimu sana kwake.
2. Kuna tabia mbaya sana kwa watu makazini kutongoza wafanya kazi wapya.
3. Ni ngumu sana yeye kukana au kukataa masharti kwa sababu Hii ni Kazi muhimu sana kwake!
Angalizo:
1. Kama kwa miaka 5 yote wakati hana Kazi ulikuwa umhudumii yeye na kuangalia wazazi wake, utaisoma namba.
2. Mkoa wenyewe wa Kagera! Wewe unakaa wapi? Utakuwa wamtembelea mara ngapi?
3. Mna watoto? Anaenda nao au vipi? Wewe umeenda muandalia mahali pazuri na Usalama pa kukaa?
Hitimisho:
Ngumu sana mwanamke aliyekaa bila Kazi kwa Milka mi 5 bila Kazi kukwepa kuliwa, it is possible Ila Naipa 5% possibility.
Cha kufanya:
Buy her a gift of a nice phone, and track her, no way out, bila yeye kujua!
Wanaume tumeumbwa kuteseka!