Mke wangu kapata kazi Mkoani!

Mke wangu kapata kazi Mkoani!

Wazee na wenye hekima waliona mbali waliposema wanandoa wasitengane zaidi ya miezi 3; zaidi ya hapo kila mmoja ajiandae kwa maumivu
miezi mitatu yote mnatafta hela ya nini kila mwezi napeleka mboga mimi
 
Basi mfungulie biashara na abaki hapo. Kama uwezo wa kumuhudumia upo kwanini aende mbali?
Nakazia ✍️✍️✍️
Mfungulie biashara inayoweza kumpa faida ya kuridhisha.
Mkianza kukaa mbali hivyo ndoa itaingia majaribuni chap
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ndugu yangu hali nayopitia ni hayo mambo,mke analiwa dodoma kmmke.

Usije jaribu kumuacha aende.

Utaletewa hata gari kutoka kwa sponsor,utajua hujui ...
Kuna subaru nimeipasua vioo vyote hapa home kmmke.

Alubati huyo anayeliwa dodoma sio sababu ya distance ni sababu ya kutokujitambua tuu. Tena inawezekana hata mlipokua pamoja alikua analiwa ila sababu ya imani kwamba unamchunga hukuwa unajua.

Mimi kwa miaka 6 niliishi jirani na wanandoa nikishuhudia mume anaagwa kwa bashasha na mabusu ya kutosha na kubebewa bag ya vitendea kazi kila asubuhi anapoenda kazini; na akishaondoka tuu mke analiwa..... anarudi anpokelewa kwa bashasha na massage ananyiwa. Yule mwanaume hata ungemwambia anachapiwa alikua haelewi tena waweza ishià kuwa adui wa ndoa yake

Wewe mwenzio keshasema mke yupo desperate sababu ya kukosa kazi ina maana hata amani hana. Wacha akafanye kazi kwa maendeleo ya familia

Mtu mzima hachungwi
 
Alubati huyo anayeliwa dodoma sio sababu ya distance ni sababu ya kutokujitambua tuu. Tena inawezekana hata mlipokua pamoja alikua analiwa ila sababu ya imani kwamba unamchunga hukuwa unajua.

Mimi kwa miaka 6 niliishi jirani na wanandoa nikishuhudia mume anaagwa kwa bashasha na mabusu ya kutosha na kubebewa bag ya vitendea kazi kila asubuhi anapoenda kazini; na akishaondoka tuu mke analiwa..... anarudi anpokelewa kwa bashasha na massage ananyiwa. Yule mwanaume hata ungemwambia anachapiwa alikua haelewi tena waweza ishià kuwa adui wa ndoa yake

Wewe mwenzio keshasema mke yupo desperate sababu ya kukosa kazi ina maana hata amani hana. Wacha akafanye kazi kwa maendeleo ya familia

Mtu mzima hachungwi
Ati mke hachungwi? Thubutuuuu... Hilo ndo kosa alifanya adam kutokumchunga eva na hakujua yupo na nani na wanafanya nin mwisho wakafukuzwa eden, abiria chunga mzigo wako
 
Na hi ndo hofu ya wengi! Nashauri anaetaka kuoa aoe standard seven maana hawa wasomi mkiwaoa mnataka vile vyeti vyao na hustles zao wazibwage chini
Ukweli mtupu. Kama umeoa mwanamke mwenye usomi wake kubaliana na haya mambo ya yeye kwenda mbali kufanya kazi. Wala usilete maneno mengi. Hutaki hizo stress chuku form four failure maisha yaende.
 
Mnataka tufanyaje,? Tuwaombe Kitu mwaka mzima mtusubirishe utafikiri tunaomba kazi UN!? Big No
Kwa kweli kama mwanamke umesomeshwa mwanaume asikuletee ujinga nenda kapige kazi.
 
Kama ulimnyanyasa kwa kutumia kukosa kwake kazi (kipato) kuwa fimbo ya kumchapia jiandae kisaikolojia. Huku kwetu Kagera wengi hawaachi kupiga kachabari na katerero na yakimtoka tu maji kule kwa down baaas!

Mtu mzima hachungiki anajichunga mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuliwa hilo sio la kuuliza,Hata ajitie Muaminifu kama (mimi) yatamfika tu shingoni

hii michezo hainaga ubabe,wewe jiandae kisaikolojia tu baba,Hata akigongwa haiondoi ukweli kuwa ni Mke wako.

hiii maswala ya kuogopa kugongewa ndio inafanya watoto wengi siku hizi wanalelewa na mama bila baba au baba bila mama, wewe kagongwe huko ila uniheshimu kama mumeo.

Huwezi mchunga mwanamke asigongeke kama ataamua,hivi viumbe ukivibana kona zote vinaweza mtunuku hata huyo mmbwa unaemfuga kama mlinzi wako usiku.

Jiamini,mwache aende ila muhimu Risala ya kutosha siku unamuaga ajue yeye ni nani na kwanini unamruhusu aende huko na asisahau wapi umemtoa,Hayo mengine muache achanganue na akili yake.

Zuri atafanya Baya Ataacha.
 
Kuna wimbo mmoja wa bongoflava unaimba hivi 'eti wazee wa zamani walisema kwamba ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani'....Lakini pamoja na hayo duh kagera mbali mwanangu huko hakutakuwa kuchapiwa bali ni ndoa kabisa.
 
Wanawake bhana!!
Yaani hapa mambo yoote umeelezea kwenu tu.
Sasa unaolewa ukawe kitega uchumi Cha ndugu zako?
Wakitaka uwe kitega uchumi Chao wasikuoze basi.
Uendelee kuwa singo
Unaweza kuwa na kazi na hiyo hela yako ndugu zako wasiionje kabisa.
Kila mtu afanye kazi awe na pesa yake
 
Ati mke hachungwi? Thubutuuuu... Hilo ndo kosa alifanya adam kutokumchunga eva na hakujua yupo na nani na wanafanya nin mwisho wakafukuzwa eden, abiria chunga mzigo wako

Huwezi kumchunga mume au mke kama unamchunga ng'ombe mkuu

Kilichomkwamisha Adam sio kushindwa kumchunga Eva kwa kufanya kuwa nae kila mahala.
Adam alipoteza fellowship yake na Mungu kwa kumpa Eva priority na kusahau hadi muda wa ibada.

Ukitumia macho yako hayo ya mwilini kutafuta mke au mume ukayatumia hayohayo kumchunga utachemka tuu

Utalala nae usiku na mchana atalala na wengine

Sijakataa kwamba kuna umuhimu wanandoa kuishi pamoja ila pia hamuwezi kuishi pamoja kwa kisingizio cha ndoa huku mambo ya uchumi yamegoma. Raha ya ndoa ni pale mnapobarikiwa kwa uzao na Mali. Ndani ya ndoa mapenzi hayaliwi
 
Mpaka hapa nina 60% tu kwenye mtihani wako Mkuu 😊😊 Sema anaweza suka hata 60k, ila Akisuka huwa hela inamuuma 🤣
Acha mwanamke akafanye kazi awe na hela yake hata siku ikitokea asichepuke kisa kupewa elfu 50 ya kikoba, bora akichepuka achekupuke kwa kupewa hata laki 5 aongezee kodi ya nyumba au akusanye ntaji wa kiwanja.

Unajuwa mwanamke akiwa na pesa yake hababaishwi na wanaume wenye vijisent vya njaa? Yaani hata akichepuka basi achepuke na mtu anaekuzidi uwezo sio hivi vitoto visimamia kucha mfukoni havina hela.
 
Hivi unafahamu kuwa neno Chakla siyo sawa na chakula?Ukiwa nae karibu ni chakula ya uma ila akienda mbali ni chakla ya uma😁😁😁
 
Meeen, I like this…

Ni kwamba mpaka naleta huu uzi, tuliongea akasema kama naweza kumruhusu aende kufanya kazi au la, so anasubiri uamzi kutoka kwangu, ndio nilikuwa naangalia possibilities hapa, ndoa haijafika miaka hiyo miaka 10. Nikalileta huku nikiamini kuna watu wanaweza kuwa na experience na hivo vitu.
Mkuu,
Kama kweli kasema anasubiri utakachoamua basi mwenzetu umebahatika, umepata mke anayejitambua na kutambua nafasi yako.
Nakushauri umruhusu tu aende, hana shida huyo.

Ila ingekuwa wale wanakomaa lazima niende hapo ndo ungekuwa na wasiwasi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom