Mke wangu kabadilika kimuonekano

Mke wangu kabadilika kimuonekano

wakat unaenda mazoezini asubuhi, usisahau kwenda nae, na jioni pia ivo ivo halafu muhimize aisependelee sana vyakula vya mafuta.

mboga za majani sana na matunda kwa wingi
 
Suluhisho ni kumpa stress za kutosha,anza kurudi nyumbani saa sita usiku na ukifika home we chati jamii forums mpaka saa tisa usiku,kila mboga mgombeze ina chumvi nyingi,akiandaa breakfast mwambie unawahi kazini,zusha safari za kikazi kila wiki,then mkatalie katakata asiguse simu yako,baada ya miezi miwili njoo utupe mrejesho
Haaa haaaa haaa
 
we bwege tu huwezi mdharau mkeo hivo na useme km umepata malaya huko anakudanganya ....jrb kuelewa thamani ya mkeo na usifikirie kutumia bor* tumia akili
 
Na wanawake acheni kujiachia mana nafikir katika uchumba mwanaume mwingine anakuambia ninapenda mwanamke potable pengine huyo mwanamke kabla ya hapo ulikua potable, sasa acheni kujiachia Ata kama ndio ashakuoa , kula kidogo fanya zoez mwingine anakula sahan mbili akidai nanyonyesha mumewe atakuhama mana tumbo linakua Hilo had unapoteza mvuto, pia wanaume kuwen wawaz kwa wake zenu kua napenda umentain shape yako na muonekano wako
 
Salaam wanajamvi,

Nimeishi kwenye ndoa miaka mitano sasa changamoto kubwa mke wangu amebadilika sana sio yule wa enzi zile.

Alikuwa mnene wastani, na kila kiungo cha mwili wake kilionekana kipo vizuri hapa namaanisha shape lakini sasa amepoteza muonekano wake amenenepa hovyo tumbo limekua kubwa kuliko makalio.

Kifupi amepoteza mvuto mbele ya macho yangu, nimejaribu kumsisitiza na kumueleza madhara ya unene amejitahidi lakini hapungui! Yaani shapeless sina hamu nae tena na ana mtoto wangu.

Wana JF nisaidieni kwa ushauri kijana mwenzenu.
Kama ulioa tako na hips pole sana.
Wanadamu hubadilika ndg yangu.
Je angeugua na kukonda sana ungemkimbia?
Au angepata chongo ungemfukuza?
Ikiwa anakuheshimu, anakupenda nakutunza familia vyema unataka nini?
Mpende mkeo miili hubadilika, mtafutie diet stahiki atarudia hali yake
 
Mpaka kifo kiwatenganishe, chezea uzazi wewe
 
Mtishie kua una mchepuko na ana mimba yako fasta iyo ndambi itapotea!
Vinginevyo asile baada ya saa 12 jioni,na mchana ale kiasi kidogo itamsaidia.
 
pole sana kwa majaribu.
9052142413_b93f8f672b_o-940x626.jpg
obesity-1.jpg
fat-woman.jpg
o-OBESITY-GENE-facebook.jpg
 
Kuwa na kimada rafiki yake na hakikisha anajua kaa nae mwaka tu na uwe unalala uko mara moja moja atarudia shape yake na ukirudi full diet na mazoezi
 
Salaam wanajamvi,

Nimeishi kwenye ndoa miaka mitano sasa changamoto kubwa mke wangu amebadilika sana sio yule wa enzi zile.

Alikuwa mnene wastani, na kila kiungo cha mwili wake kilionekana kipo vizuri hapa namaanisha shape lakini sasa amepoteza muonekano wake amenenepa hovyo tumbo limekua kubwa kuliko makalio.

Kifupi amepoteza mvuto mbele ya macho yangu, nimejaribu kumsisitiza na kumueleza madhara ya unene amejitahidi lakini hapungui! Yaani shapeless sina hamu nae tena na ana mtoto wangu.

Wana JF nisaidieni kwa ushauri kijana mwenzenu.
..Haya mwache sasa,maana ndo unataka tukuambie Hivyo
 
Salaam wanajamvi,

Nimeishi kwenye ndoa miaka mitano sasa changamoto kubwa mke wangu amebadilika sana sio yule wa enzi zile.

Alikuwa mnene wastani, na kila kiungo cha mwili wake kilionekana kipo vizuri hapa namaanisha shape lakini sasa amepoteza muonekano wake amenenepa hovyo tumbo limekua kubwa kuliko makalio.

Kifupi amepoteza mvuto mbele ya macho yangu, nimejaribu kumsisitiza na kumueleza madhara ya unene amejitahidi lakini hapungui! Yaani shapeless sina hamu nae tena na ana mtoto wangu.

Wana JF nisaidieni kwa ushauri kijana mwenzenu.

Mpige chini huyo mkeo. Tafuta mwingine anayekwenda na viwango vyako vya sasa hivi.
 
Ndio shida ya kupenda mwonekano, mwingine akizaa nyonyo zinalala, mwingine tumbo linaongezeka, na umri pia ukisogea lazima mtu abadilike kimwonekano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom