Tatizo kubwa la utumiaji wa vidonge vya majira kwa TZ ni kwamba akina dada/mama wanapewa vidonge bila (mara nyingi) ya kupimwa na kuangaliwa hormones zao. Kwa wenzetu upimwa kwanza na kupewa vidonge vitakavyoendana na hormones za mwili wake. Ndiyo maana unakuta binti toka akiwa na miaka 13 anatumia hivyo vidonge na wala hanenepi.Aache kutumia vidonge vya majira kwani vina tabia ya kuwanenepesha sana baadhi ya wanawake na kuharibu maumbile yao. Tumia njia kalenda kupanga uzazi au yeyote ile ya kiasili .
Ila wanawake wengi nao kwakweli wanajiendekeza kwa kisingizio cha uzazi, yani mtu anajiaachiaa anakua kama kiroba cha UngaHii ni changamoto kwa wanawake wengi, haswa ukizingatia life style zetu.
Nenda nae taratibu, azingatie mazoezi na discipline katika ulaji.
It ll take time tho, kuwa mvumilivu.
hahahahahahahahaha eve una manenoIla wanawake wengi nao kwakweli wanajiendekeza kwa kisingizio cha uzazi, yani mtu anajiaachiaa anakua kama kiroba cha Unga
well saidAache kutumia vidonge vya majira kwani vina tabia ya kuwanenepesha sana baadhi ya wanawake na kuharibu maumbile yao. Tumia njia kalenda kupanga uzazi au yeyote ile ya kiasili .
Hahaaaaaa!! Ni kweli lakini.Ila wanawake wengi nao kwakweli wanajiendekeza kwa kisingizio cha uzazi, yani mtu anajiaachiaa anakua kama kiroba cha Unga
Mazoezi kipaji mama, afu inatakiwa willingness kuyafanya, na mazoezi ya kuanzia uzeeni asijeamsha vilivo lala ha ha ha hamfanyishe mazoezi
hahahahahahahahaha kweliMazoezi kipaji mama, afu inatakiwa willingness kuyafanya, na mazoezi ya kuanzia uzeeni asijeamsha vilivo lala ha ha ha ha
Mwingine nae juzi nimemsikia anasema "yani nitoke out niwaache wanangu nyumbani" mmh kwa mitazamo hii ina maana watoto wanakujaga kuharibu, make ukakuta hapo baada ya kuzaa ndo madira kila siku, mwili ndo huo tumbo mgongo tako vimeshikana, outing na mme hakuna ha ha ha I want to be forever young kwakweliHahaaaaaa!! Ni kweli lakini.
Ni kweli ukishazaa kuna mambo hubadilika ila isiwe ndio kisingizio cha kila kitu.Mwingine nae juzi nimemsikia anasema "yani nitoke out niwaache wanangu nyumbani" mmh kwa mitazamo hii ina maana watoto wanakujaga kuharibu, make ukakuta hapo baada ya kuzaa ndo madira kila siku, mwili ndo huo tumbo mgongo tako vimeshikana, outing na mme hakuna ha ha ha I want to be forever young kwakweli
Kwahiyo wapende nini?Ukimpenda mwanamke umbo kuna siku litabadilika, ukimpenda ngozi kuna siku itachoka na kusinyaa, ukimpenda sura kuna sura yake itapoteza mvuto.
Penda moyo wake, katu hauzeeki wala hauchoki, kitakutenganisha kifoKwahiyo wapende nini?