Mke wangu kabadilika kimuonekano

Mke wangu kabadilika kimuonekano

Mkuu kumbuka pia hiyo ni mid set yako. Yaani the way you looked at her mwanzoni na sasa hivi is different . try to look ata her from the same angle as you did in the beginning.
 
Suluhisho ni kumpa stress za kutosha,anza kurudi nyumbani saa sita usiku na ukifika home we chati jamii forums mpaka saa tisa usiku,kila mboga mgombeze ina chumvi nyingi,akiandaa breakfast mwambie unawahi kazini,zusha safari za kikazi kila wiki,then mkatalie katakata asiguse simu yako,baada ya miezi miwili njoo utupe mrejesho
Anaweza kuta anasaidiwa
 
Ujue we ndo tatizo na sio mke wanaume wengi mnashindwa kujua kuwa zoezi pekee la mke kutonenepa hovyo hovyo ni kufika kileleni kila mnapo duh
Usipohakikisha hilo biological mechanisms za fat deposition zitakuwa nyingi mno hivyo humsababishia kunenepeana bila mpangilio ukiwa unamkuna mpaka orgasms kama 2-3au hata 4 lzm nguvu inayotoka kumfanya afike kilindini mafuta yachomwe moto hivyo unamfanya amentain figure
Jamani hili zoezi nimelipenda. .
 
Mke wako ulisha mvurunga vurunga leo unataka umwache wee ni ***** kiwango cha reli (SG) Standard Gauge!!

Haya ni baadhi ya madhara ya vijana kuwahi kuoa!!

Wee jamaa ungekuwa ndugu yangu ningekodi lile dude la kulipua ndege za kivita nije nikusambaratishe on point!
 
Ujue we ndo tatizo na sio mke wanaume wengi mnashindwa kujua kuwa zoezi pekee la mke kutonenepa hovyo hovyo ni kufika kileleni kila mnapo duh
Usipohakikisha hilo biological mechanisms za fat deposition zitakuwa nyingi mno hivyo humsababishia kunenepeana bila mpangilio ukiwa unamkuna mpaka orgasms kama 2-3au hata 4 lzm nguvu inayotoka kumfanya afike kilindini mafuta yachomwe moto hivyo unamfanya amentain figure
duu kumbe
 
Wewe hicho kitambi chako vp? Unajiona upo vile vile siyo??
 
hao ndiyo wanawake wengi mkuu? hao ni wachache mno ukilinganisha na ambao shep zimeharibika.

cha msingi ni kwamba shepu halisi ya mwanamke unaipata baada ya kuwa amezaa, ile tunayoiona wakati wa usichana wao na ambayo ndio inayotupelekea tuwaoe baada ya muda mfupi inabadilika pale tunapokuwa tumewazalisha.


Na ndiyo hapo tunapowachukia wake zetu na kuwachoka mapema wakati bado tuna safari ndefu ya kuendelea kuishi nao.

Kwa ambao hawajaoa bado ni bora ukaoa mwanamke skeleton kabisa kama na wewe ni miongoni mwa wanaopenda wanawake wembamba ili pale anapozaa afikie kiwango chako kwani ataongezeka tu.

na mleta mada mvumilie mkeo, mfanyishe diet na mazoezi ya kukata tumbo.
umenena vyema kabisa, kula likes zangu mkuu. ila angalizo, asije oa skeleton ibakie kuwa skeleton atajuta.
 
Kuzaa siyo hoja,usipotoshe umma please!!.......Mbona wanawake kibao kama vile akina Zamaradi,Zarie,Angelina jolie na wengine wamezaa watoto wengi tu ila wana shape kali???........Hoja hapa ni kula ovyo,uvivu wa kufanya mazoezi na kutokujipenda!
wewe jamaa unashangaza sana
 
Na ww siyo yule wa kipindi kile,mkeo anabadilika na ww unabadilika...

Chukua kioo na picha yako ya kitambo afu jifananishe...

Pia kuna nguo hazikutoshi tena...

Ndo hvyo tena na ww unabadilika mkuu!
 
TATZO UNADANGANYIKA NA AKINA AMISA WENZIO WANAHANGAIKA NA MADAWA SI KITOTO.. ACHANA NA PICHA ZA INSTAGRAM KIJANA UTAKUJA KUJUTA
 
Ngojea ipite tena miaka mingine mitano then utoe majibu;
 
Sasa ulitaka asibadilike hata kitu ukikivaa sana kitatanuka tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom