Mke wangu kabadilika kimuonekano

Mke wangu kabadilika kimuonekano

Kuzaa siyo hoja,usipotoshe umma please!!.......Mbona wanawake kibao kama vile akina Zamaradi,Zarie,Angelina jolie na wengine wamezaa watoto wengi tu ila wana shape kali???........Hoja hapa ni kula ovyo,uvivu wa kufanya mazoezi na kutokujipenda!
Inategemea na mwili kama ww kibonge ni kibonge tu ata ujinyime kula vp
 
Hiyo ni mifano michache nimetoa,sina muda wala space ya kutaja wote!......Ninachomaanisha ni kuwa suala la mwanamke kuwa na figure mbaya baada ya kuzaa siyo suala la nature bali ni suala la kujitakia!
Ngoja niibe kitu hapa

Kuna siku nilikua naangalia ka-tv channel ka nje fashion Tv nilinote kitu, Baada ya kujifungua mwanamke anatakiwa asile sana vitu vya kujaza tumbo sana kwa kula vitu vyenye nutrients hitajika ambavyo huwa ni quantityless (even hata baada ya abortion) hii ni kwa sababu baada ya kujifungua tumbo linakua limelegea so ukiendelea kujaza tumbo lazima libaki kubwa kama kipindi cha ujauzito

Niliverify hili kwa kuangalia asilimia kubwa ya akina mama wa kijijini wasio vizuri kiuchumi baada ya kujifungua hurudia hali yao ya kawaida, najua utaelewa mwenyewe ni kwa sababu gani.

Break the like button basi
 
salaam wanajamvi
nimeishi kwenye ndoa miaka mitano sasa changamoto kubwa mke wangu amebadilika sana sio yule wa enzi zile

alikua mnene wastani, na kila kiungo cha mwili wake kilionekana kipo vizuri hapa namaanisha shape lakn sasa amepoteza muonekano wake amenenepa hovyo tumbo limekua kubwa kuliko makalio,

kifupi amepoteza mvuto mbele ya macho yangu, nimejaribu kumsistiza na kumueleza madhara ya unene amejitahid lakin hapungui!! yaani shapeless cna ham nae tena na ana mtoto wangu!! wana jf nisaidieni kwa ushauri kijana mwenzenu


Tatizo la wanawake wengi hujisahau baada ya kuolewa, tumbo uzembe ni uvivu tu na ujinga. Mpe muda wa kupungua, kama hajapungua within a month, mkimbie kwani utakuwa unatunza tembo mtoto.
 
Ujue we ndo tatizo na sio mke wanaume wengi mnashindwa kujua kuwa zoezi pekee la mke kutonenepa hovyo hovyo ni kufika kileleni kila mnapo duh
Usipohakikisha hilo biological mechanisms za fat deposition zitakuwa nyingi mno hivyo humsababishia kunenepeana bila mpangilio ukiwa unamkuna mpaka orgasms kama 2-3au hata 4 lzm nguvu inayotoka kumfanya afike kilindini mafuta yachomwe moto hivyo unamfanya amentain figure
Sikubaliani na ww kabisa,huu ni uwongo kabisa.
 
mbona unalia lia wakati tatizo ni dogo tu mkuu labda kama unataka aendelee kua mnene.

Mwandalie baje ya kuhudhuria gym asubui na jion na awe na diet maalum, mbona utampenda mwenyewe
 
Suluhisho ni kumpa stress za kutosha,anza kurudi nyumbani saa sita usiku na ukifika home we chati jamii forums mpaka saa tisa usiku,kila mboga mgombeze ina chumvi nyingi,akiandaa breakfast mwambie unawahi kazini,zusha safari za kikazi kila wiki,then mkatalie katakata asiguse simu yako,baada ya miezi miwili njoo utupe mrejesho
hapa zaidi unamuumiza kisaikolojia..Utamsababishia stress na zaidi akapata obesity.......
 
Kama ulikuwa unaacha elfu 20 ya chakula anza kuacha elfu 5.pia kwa siku anywe lita 5 za maji na zaidi
 
salaam wanajamvi
nimeishi kwenye ndoa miaka mitano sasa changamoto kubwa mke wangu amebadilika sana sio yule wa enzi zile

alikua mnene wastani, na kila kiungo cha mwili wake kilionekana kipo vizuri hapa namaanisha shape lakn sasa amepoteza muonekano wake amenenepa hovyo tumbo limekua kubwa kuliko makalio,

kifupi amepoteza mvuto mbele ya macho yangu, nimejaribu kumsistiza na kumueleza madhara ya unene amejitahid lakin hapungui!! yaani shapeless cna ham nae tena na ana mtoto wangu!! wana jf nisaidieni kwa ushauri kijana mwenzenu
Pole sana kijana, hauko peke yako na mimi yalinipata hayo, tofauti yakonamimini kwamba sisi tuna watoto 5, wengine wanakukaribia wewe. Ilipoanza kutokea nilikuwa nikifikiria wakati wa uchumba wetu nilivyo kuwa naomba kwa mungu huyu binti asije kubadilisha mawazo akachukuliwana kidume mwingine, basi nikawa najirudi mwenyewe na kumhurumia mwenzangu. Mpaka sasa tupo wote na kweli tumbo ni kumbwa mno, lakini sina jinsi na familia yetu ina amani sana. usimwache huyo.
 
pamoja na ubaya unaouona kwake wenzako wanamtamani hivyo hivyo na tumbo lake.. endelea kumpenda mkeo ni mama sasa hawezi kuwa kama binti milele
 
Kuwa shapeless si ishu,ila kama afya yake ni life threatening,hatua madhubuti zichukuliwe,ikiwemo mazoezi ya kupunguza uzito na diet nzuri.Otherwise,learn to love her imperfection.
 
Tatizo la wanawake wengi hujisahau baada ya kuolewa, tumbo uzembe ni uvivu tu na ujinga. Mpe muda wa kupungua, kama hajapungua within a month, mkimbie kwani utakuwa unatunza tembo mtoto.
And here we go. Mafurushi mengine.
 
salaam wanajamvi
nimeishi kwenye ndoa miaka mitano sasa changamoto kubwa mke wangu amebadilika sana sio yule wa enzi zile

alikua mnene wastani, na kila kiungo cha mwili wake kilionekana kipo vizuri hapa namaanisha shape lakn sasa amepoteza muonekano wake amenenepa hovyo tumbo limekua kubwa kuliko makalio,

kifupi amepoteza mvuto mbele ya macho yangu, nimejaribu kumsistiza na kumueleza madhara ya unene amejitahid lakin hapungui!! yaani shapeless cna ham nae tena na ana mtoto wangu!! wana jf nisaidieni kwa ushauri kijana mwenzenu

WEKA PICHA KWANZA MKUU.
 
Ngoja niibe kitu hapa

Kuna siku nilikua naangalia ka-tv channel ka nje fashion Tv nilinote kitu, Baada ya kujifungua mwanamke anatakiwa asile sana vitu vya kujaza tumbo sana kwa kula vitu vyenye nutrients hitajika ambavyo huwa ni quantityless (even hata baada ya abortion) hii ni kwa sababu baada ya kujifungua tumbo linakua limelegea so ukiendelea kujaza tumbo lazima libaki kubwa kama kipindi cha ujauzito

Niliverify hili kwa kuangalia asilimia kubwa ya akina mama wa kijijini wasio vizuri kiuchumi baada ya kujifungua hurudia hali yao ya kawaida, najua utaelewa mwenyewe ni kwa sababu gani.

Break the like button basi
feitty u are warmly welcome thwitie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom