Ngoja niibe kitu hapa
Kuna siku nilikua naangalia ka-tv channel ka nje fashion Tv nilinote kitu, Baada ya kujifungua mwanamke anatakiwa asile sana vitu vya kujaza tumbo sana kwa kula vitu vyenye nutrients hitajika ambavyo huwa ni quantityless (even hata baada ya abortion) hii ni kwa sababu baada ya kujifungua tumbo linakua limelegea so ukiendelea kujaza tumbo lazima libaki kubwa kama kipindi cha ujauzito
Niliverify hili kwa kuangalia asilimia kubwa ya akina mama wa kijijini wasio vizuri kiuchumi baada ya kujifungua hurudia hali yao ya kawaida, najua utaelewa mwenyewe ni kwa sababu gani.
Break the like button basi