Mke wangu kabadilika kimuonekano

Mke wangu kabadilika kimuonekano

Ninakiri kuona wanawake wengi sana wakipoteza uzuri wao kwa ajili ya kunenepa,inaanzia usoni mpaka mwili mzima na huwa ni vigumu wao kuamini kuwa wanaharibika kwani kuna dhana ya kuwa mwanamke mzuri ni aliejazia,na hii ndio hasa inawafanya wafikie hapo walipo.
 
eti tumbo kumbwa kuliko makalio...

inauma sana mke wako ana kitambi alafu baba mwenye nyumba na kimbaombao

Pole mkuu amekuwa na irregular shape? Mpe mazoezi ya tumbo unene haukubaliki na atakuwa mzito na mvivu
 
Ujue we ndo tatizo na sio mke wanaume wengi mnashindwa kujua kuwa zoezi pekee la mke kutonenepa hovyo hovyo ni kufika kileleni kila mnapo duh
Usipohakikisha hilo biological mechanisms za fat deposition zitakuwa nyingi mno hivyo humsababishia kunenepeana bila mpangilio ukiwa unamkuna mpaka orgasms kama 2-3au hata 4 lzm nguvu inayotoka kumfanya afike kilindini mafuta yachomwe moto hivyo unamfanya amentain figure
Kwa hali ya kawaida ya maisha yetu ya kutoka kazini saa 11 na kufika nyumbani saa 4 usiku na asubuhi kuamka saa11 alfajiri,kwa hilo swala la orgasms 2 mpaka 3 au 4 kazi itamshinda.
 
Nipe mm huyo kwani hizo shepu ndio huwa nachanganyikiwa nazo sana
 
Unavyolalama as if wewe toka umeoa hujagain weight... ukute ulioa na 65 sasa hv una 130 hlf kelele nyingi.. ongea na mkeo mwambie ubaya wa kuwa na uzito mkubwa... fanyeni wote mazoezi

hlf ukute pia wewe ndo chanzo unamstress kwa mitabia yako kama hii ya manyanyaso... basi anakula tuu ... acha hizo
 
Ndo matatizo ya kupenda maumbile hayo....tangu mwanzo ulivutiwa nae na hukumpenda nafsi yake..mimi binafsi mke wangu alibadilikaga kitambo na sijawahi kumchukia eti kisa amechange....namkubali sana na hata huwa nikichepuka huwa ni tamaa zangu tu na sio kuwa simpendi....nakushauri umwambie aende kwa mganga akapewe limbwata umpende yeye tu..zaidi ya hapo hakuna ujanja.
 
Well said Kujiachia kunenepea ni kutokujijali... Sasa kama unashindwa kuji take care mwenyewe kujipenda mume anaanzaje ....


Umeona enheee, kina dada yabidi kujipanga upya. Mtu atakuambia yuko kwenye diet sasa jaribu kumpa offer ujute. Atakula kwa fujo ili kulipizia njaa aliyoshinda nayo. Mtu unabaki kujiuliza, where is the diet hapa na ukimwangalia mtumbo huo kama kabeba mimba ya miezi 9.
 
Juu ya kufanya mazoezi pia awe anakunywa maji yaliyochanganywa na limao au ndimu kila anaposikia kiu.Limao na ndimu si rafiki kwa mwenye vidonda vya tumbo.
 
Mm sidhani km Mume aliyempenda mkewe anaweza akawa na mawazo ya kutompenda kwa kubadilika muonekano,hayo ni mapungufu yako kimawazo.Na umetia aibu kwa uzi huu.
 
Salaam wanajamvi,

Nimeishi kwenye ndoa miaka mitano sasa changamoto kubwa mke wangu amebadilika sana sio yule wa enzi zile.

Alikuwa mnene wastani, na kila kiungo cha mwili wake kilionekana kipo vizuri hapa namaanisha shape lakini sasa amepoteza muonekano wake amenenepa hovyo tumbo limekua kubwa kuliko makalio.

Kifupi amepoteza mvuto mbele ya macho yangu, nimejaribu kumsisitiza na kumueleza madhara ya unene amejitahidi lakini hapungui! Yaani shapeless sina hamu nae tena na ana mtoto wangu.

Wana JF nisaidieni kwa ushauri kijana mwenzenu.
kwa hiyo unataka kumuacha au???
 
You are too judgemental, i'd hate to end up in your court . There are too many damn reasons why someone may stop caring for their looks and become huge. The worst of them all is depression, most depressed people turn to food for comfort especially if they can afford it before they know it, things have gotten out of hands. Happy people care about their looks and what everyone thinks about them, so they exercise and watch what they eat. So this dude could try making his wife happy(its the little things in life that bring true happiness, he can start by telling her that he loves her and kiss her goodbye every morning before leaving fir work, i know i'd love that) then she may just give a damn about how she looks and make the effort to lose the 'lazy belly', as you put it.

I don't think I am judgemental, I was just giving advises to the dude. It's true what you said about some people being depressed and lose interest on how they look, however, there are people who just don't care about anything no matter what you tell them. By the way, I would love to kiss you on the chick as a friend.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom