google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,667
- 13,868
Ww mwenyewe unafanya mazoezi ?
Missing you mtani...Ndio shida ya kupenda mwonekano, mwingine akizaa nyonyo zinalala, mwingine tumbo linaongezeka, na umri pia ukisogea lazima mtu abadilike kimwonekano.
Hata mi, ndho kula unikedhie nento bwanaMissing you mtani...

kiukweli unene unakera mtake msitake hata kufanya yale mambo mlokua mkifanya mwanzo hamuwezi tena ... Hapo lazima ndoa iingie dosari mke atakwambia amechoka mara kwa mara ... Dawa kaa nae mwambie mke wangu bd na kupenda ila jaribu kubadili huu muonekano wako kwa ajili ya afya yako na mengineyo...Si umemzalisha ulitegemea abaki vile vile apo utataka ushauri uambiwe mwache, uyo ni mkeo uliyefunga nae ndoa vumilia tu acha hzo tamaa
Jamani hili zoezi nimelipenda. .
Haya mtani.. Ninedha..Hata mi, ndho kula unikedhie nento bwana![]()
Nyie mkijiachia na matambi yenu tunawavumilia tu, ila sie mnatushikia mabango!! Khaaah!!Na wanawake acheni kujiachia mana nafikir katika uchumba mwanaume mwingine anakuambia ninapenda mwanamke potable pengine huyo mwanamke kabla ya hapo ulikua potable, sasa acheni kujiachia Ata kama ndio ashakuoa , kula kidogo fanya zoez mwingine anakula sahan mbili akidai nanyonyesha mumewe atakuhama mana tumbo linakua Hilo had unapoteza mvuto, pia wanaume kuwen wawaz kwa wake zenu kua napenda umentain shape yako na muonekano wako
kitambi chetu ni cha kufutia smartphone au hujui??Nyie mkijiachia na matambi yenu tunawavumilia tu, ila sie mnatushikia mabango!! Khaaah!!
Naskiaga mnapenda kupapasa vitambi, hiv kuna ukweli atoto!Nyie mkijiachia na matambi yenu tunawavumilia tu, ila sie mnatushikia mabango!! Khaaah!!
Shikamoo DoctorLeta namba yake PM, dawa ipo. ..
Mmmh!! Kwa mimi hapana aisee!!Naskiaga mnapenda kupapasa vitambi, hiv kuna ukweli atoto!
Vyetu tunafutia masufuria.kitambi chetu ni cha kufutia smartphone au hujui??
Hapo pamoja sanaaMmmh!! Kwa mimi hapana aisee!!
Duuuhh haya mrembo atoto umeshindaVyetu tunafutia masufuria.