Ndiohahaha awe spika
hahahaMimi nashauri umwite jina lolote ispokua John chondechonde usimpe mtoto hili jina....lingine hutakiwi kumwita mwanao ni Tulia usithubutu.....halafu ndugai usimwite mwanao hivi
Mambo vipi wanajamii poleni na mvua za kuikaribisha pasaka . me ni mgeni Jukwaani lakini napenda kushare nanyi hili.
Mke wangu ni mjamzito na mtoto atakayezaliwa natarajia Jinsia ya me na umebaki mwezi mmoja tu ajifungue. sasa sitaki majina ya kurithi wala ya kutokea upande mmoja wa mke wangu au kwangu mimi .naomba mnisaidie jina gani zuri zuri litamfanya awe mtoto wa kipekee upande wa Dini ni mkristo pendekeza the best name......
karibuni wanajamii
Hapanakwani ukiwa mkristo ndiyo uwe mjuzi wa kila kitu mwanajamii?
Nice..me pia nalipendaJoe au Joel limetulia hili
rafiki tokea umpate mchumba kutoka JF umekuwa cool sana!Nice..me pia nalipenda
Rafiki sijawahi kuwa na mchumba jf ....kwani nilikuwa mkorofi mkuu?rafiki tokea umpate mchumba kutoka JF umekuwa cool sana!
KanielMambo vipi wanajamii poleni na mvua za kuikaribisha pasaka . me ni mgeni Jukwaani lakini napenda kushare nanyi hili.
Mke wangu ni mjamzito na mtoto atakayezaliwa natarajia Jinsia ya me na umebaki mwezi mmoja tu ajifungue. sasa sitaki majina ya kurithi wala ya kutokea upande mmoja wa mke wangu au kwangu mimi .naomba mnisaidie jina gani zuri zuri litamfanya awe mtoto wa kipekee upande wa Dini ni mkristo pendekeza the best name......
karibuni wanajamii
Rafiki sijawahi kuwa na mchumba jf ....kwani nilikuwa mkorofi mkuu?
Rafiki Nilijua tuu maana hiyo avatar yako ni self explanatory hahahahahahaRafiki nakutania tuu!
Umewaza nilichotaka kumwambia, safi sanaMwite majina ya mababu zako kama ni wakiume au mabibi zake kama ni wakike
Sasa unamuuita Mara yuda Mara sijui nani hayo majina yanafaida gani kwako zaidi tuu unauwa koo yenu
Rudi nyumbani kumenoga!