Mke wangu anajifungua, mtoto nimpe jina gani?

Mambo vipi wanajamii poleni na mvua za kuikaribisha pasaka . me ni mgeni Jukwaani lakini napenda kushare nanyi hili.
Mke wangu ni mjamzito na mtoto atakayezaliwa natarajia Jinsia ya me na umebaki mwezi mmoja tu ajifungue. sasa sitaki majina ya kurithi wala ya kutokea upande mmoja wa mke wangu au kwangu mimi .naomba mnisaidie jina gani zuri zuri litamfanya awe mtoto wa kipekee upande wa Dini ni mkristo pendekeza the best name......
karibuni wanajamii
Mimi nakushauri tu hayo ya kuomba majina kwa watu kabla kabla si mema sana labda ungekuwa na wazo hilo halafu ungesubiri mtoto azaliwe kwanza maana uzazi wa siku hizi pasua kichwa usije ukaishia kipata jina tu na usipate wa kumwita ,

sorry!! najua nimeongea jambo gumu ambalo laweza kukukwaza lakini huo ndio ukweli halisi wa maisha tuliyo nayo sasa na hasa ukizingatia sisi pia ni viumbe kama viumbe wengine.
 
Mambo vipi wanajamii poleni na mvua za kuikaribisha pasaka . me ni mgeni Jukwaani lakini napenda kushare nanyi hili.
Mke wangu ni mjamzito na mtoto atakayezaliwa natarajia Jinsia ya me na umebaki mwezi mmoja tu ajifungue. sasa sitaki majina ya kurithi wala ya kutokea upande mmoja wa mke wangu au kwangu mimi .naomba mnisaidie jina gani zuri zuri litamfanya awe mtoto wa kipekee upande wa Dini ni mkristo pendekeza the best name......
karibuni wanajamii

Duh ww ni baba wa aina gani mpaka jina unauliza jf?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom