Ahsante kwa ushauriKabisa mnakuja kuomba majina humu!!!.. huwa nawashangaa.. hivi ukipewa jina na labda mtu anakutumia mabalaaaa kwa kumtia majanga mwanao au familia yako.. utamlaumu nani?
Unauwezo wa kuingia mtandaoni.. jiongeze usechi majina na maana zake.. utapata mengi tu na kuchagua unalotaka.
Kila la kheri
Mwite Mwakitombileee..Ahsante kwa ushauri
cocochanel
Kila mtoto uja na baraka zake toka kwa Mungu. Mungu pekee ndio awezaye kutoa jina bora sana. Nakushauri piga goti na muombe Mungu akupatie jina la Mwanao mtarajiwa.
Hongera sana kwa hatua uliyofikia, kila la kheri.
Muite Omar Al BashirMambo vipi wanajamii poleni na mvua za kuikaribisha pasaka . me ni mgeni Jukwaani lakini napenda kushare nanyi hili.
Mke wangu ni mjamzito na mtoto atakayezaliwa natarajia Jinsia ya me na umebaki mwezi mmoja tu ajifungue. sasa sitaki majina ya kurithi wala ya kutokea upande mmoja wa mke wangu au kwangu mimi .naomba mnisaidie jina gani zuri zuri litamfanya awe mtoto wa kipekee upande wa Dini ni mkristo pendekeza the best name......
karibuni wanajamii
Mambo mengine sio yakuyaleta humu any way muulize roho mtakatifu atakupatia jina zuri
Humphrey??? Si atakuwa polepole?Geofrey, Gregory, gaspar, Humphrey,
Ibrahim, mwita, Edward,lema, nadhani yatafaa Sana!!Mimi nashauri umwite jina lolote ispokua John chondechonde usimpe mtoto hili jina....lingine hutakiwi kumwita mwanao ni Tulia usithubutu.....halafu ndugai usimwite mwanao hivi
Mwita waitara??? mzee wa billon 43+ billion 18 =billion 1 .........Ibrahim, mwita, Edward,lema, nadhani yatafaa Sana!!