Mke wangu anachelewa kurudi nyumbani

Mke wangu anachelewa kurudi nyumbani

Tafadhali, ili usonge mbele inakubidi uwe na maamuzi magumu Kaka, huyo mkeo atakuwa anamahusiano na huyo mwanaume muda mrefu .
Pia ni kwamba mwanamke akishamvulia chupi mwanaume mwingine nje ya ndoa au mahusiano yenu , ujue huyo tena siyo wako tena na mwisho wake ni kuuana
 
Wakuu habari za asubuhi,

Naombeni msaada nimfanyaje huyu mke wangu.

Jana ameniaga anaenda town kupeleka hela mida ya jioni kwa mwanaume aliye mkopesha hela (hizo hela alikopa kwa nguvu bila idhini yangu) but amekaa huko hadi saa nne usiku ndiyo akarudi nyumbani.

Nimejaribu kumuuliza alikuwa wapi muda wote huo akaniambia hana majibu na nilipojaribu kuendelea kumuuliza kwa ukali akanijibu nimpe vitu vyake vyote aondoke akatafute pakukaa nami nikamjibu kwa kutumia akili ndogo chukua vitu vyako uende na akiondoka uache ufunguo kwa jirani.

Sasa hivi nimeondoka nimeenda job huku nikitafakari la kumfanya sipati majibu.

Naombeni msaada wazee wenzangu.
Huyu anachepuka na tena anakupnyesha ujue kuwa anachepuka jiongeze mwache aende hapo hakuna mapenzi na wala mazungumzo hayawezi kusaidia.
Wakati mwingine mazungumzo siyo solution, vita haiepukiki mwache aende tu
 
Uzuri ameshamluhusu aondoke.

Sikubali akakope hata kwa shoga ake mana najua kifuatacho tu
Wengi mnasema hamruhusu ila wake zenu wana kopa sana, kuna dada ni mke wa mtu na ana mikopo kila kona tena mikubwa mikubwa tu, yaani akiwa na shida haoni taabu kumvaa yeyote hata kama hana mazoea nae amkope. Huwa tunajiuliza inamaana huyo mumewe anaruhusu hali hiyo au inakuwaje!!!!
 
Pole sana Mimi mambo kama hayo siwezi omba ushauri hata kidogo
Akope hela bila Mimi kujua
Kwa MTU nisiye mjua
Arudi mda anaotaka
Huyo MTU angemtumia kwenye simu

Kama unaweza njoo pm

Ukweli kinachotakiwa kumsumbua MTU ni maisha na njia ya kuufikia uzima Wa milele lkn sio mwanaume /mwanamke
Message sent!!!
 
Wengi mnasema hamruhusu ila wake zenu wana kopa sana, kuna dada ni mke wa mtu na ana mikopo kila kona tena mikubwa mikubwa tu, yaani akiwa na shida haoni taabu kumvaa yeyote hata kama hana mazoea nae amkope. Huwa tunajiuliza inamaana huyo mumewe anaruhusu hali hiyo au inakuwaje!!!!
Ndo wote hao waliokosa adabu ya ndoa au waishi kisela.
Kawaida ya mikopo ipo siku atatafutwa tu

Hata wale wanaocheza michezo hawafai ata kidogo.
 
Wengi mnasema hamruhusu ila wake zenu wana kopa sana, kuna dada ni mke wa mtu na ana mikopo kila kona tena mikubwa mikubwa tu, yaani akiwa na shida haoni taabu kumvaa yeyote hata kama hana mazoea nae amkope. Huwa tunajiuliza inamaana huyo mumewe anaruhusu hali hiyo au inakuwaje!!!!

espy tusipende kuhukumu moja kwa moja !sijui niiwekeje hii !unaweza shauriana na mumeo fresh muingie bank mkope muendeleze biashara yenu !hapo ndo kosa linapofanyika !ukishakopa tu mume ndan haachi mtumiz had bills zote unaachiwa wewe !

ukiona mwanamke anakopa bila mumewe kujua jua ipo shida !mbona huku maofisini had mama zetu aged mbaya wanakopa bila waume zao kujua??? unahangaika kujibana mwenzako ndo anajiachia sasa bar bata zote anazipitia !hapana waache wakope ila wakope kwa malengo ! mamikopo mengi mengi hayapendezi full stress !
 
Ndo wote hao waliokosa adabu ya ndoa au waishi kisela.
Kawaida ya mikopo ipo siku atatafutwa tu

Hata wale wanaocheza michezo hawafai ata kidogo.

huwajui wanaume wewe !kama ni mama hana kazi hyo mikopo asikope lakini km unakazi yako na unaona mume mfuajaji kwakweli mie sikuambii !am sorry
 
Wanawake mda mwingn ni pasua kichwa, mkuu tabia hii inamda gn?
 
wewe bwana hebu eleza vzr huo mkasa inavyoonyesha haujaanzia hapo mana jinsi ulivyoelezea inaonekana kuna mengine tu nyuma ya pazia

kabisa !ulikuepo mawazoni mwangu kunawatu wnaamjaza hapa !again mwanamke akichoka huwa anachoka mazima !huwez kusema tu anarud saa 4!watu tuna experience hapa
 
PUT THAT WOMAN FIRST [emoji445]
When she starts bringin' up old dirt
And the fights keep getting worse (Oh, brother)
Findin' numbers in her purse
Better put that woman first (Yeah)

And you know she ain't wearin' her ring (Oh, no)
When she starts playin' little games
Comin' in late from work
You better put that woman first
 
espy tusipende kuhukumu moja kwa moja !sijui niiwekeje hii !unaweza shauriana na mumeo fresh muingie bank mkope muendeleze biashara yenu !hapo ndo kosa linapofanyika !ukishakopa tu mume ndan haachi mtumiz had bills zote unaachiwa wewe !

ukiona mwanamke anakopa bila mumewe kujua jua ipo shida !mbona huku maofisini had mama zetu aged mbaya wanakopa bila waume zao kujua??? unahangaika kujibana mwenzako ndo anajiachia sasa bar bata zote anazipitia !hapana waache wakope ila wakope kwa malengo ! mamikopo mengi mengi hayapendezi full stress !
Achana na hao ambao waume zao wana shida kuna wengine mpaka unahisi maybe ni hobby yao kukopa jamani!!
 
Io ya kukopa bila taarifa tuko wengi mkuu, wangu anakopa madela, mikoba, kusuka mkopo, saizi nadaiwa na mtaa mzima nami nimesusa kudadeki kama mbwai na iwe mbwai, wakimpeleka central ntakaa wiki ndo naenda kumtoa, mtu gani hawez kuvumilia ata vishida vidogo, unapigiwa hesabu kila mwezi kakopa laki mbili mweee
 
Du yani mwanamke anarudi SAA nne katoka kulipa deni , hilo deni hakuweza kulipa kwa mobile money, kifupi jamaa aligonga mzigo vibaya sana ndio kiburi kimemjaa
Haaaa haaaa! Mkuu,uliniona nn mbn unahadithia km ulikuwepo?
 
Back
Top Bottom