Baba Loveness
Member
- Sep 24, 2014
- 6
- 69
Wakuu habari za asubuhi,
Naombeni msaada nimfanyaje huyu mke wangu.
Jana ameniaga anaenda town kupeleka hela mida ya jioni kwa mwanaume aliye mkopesha hela (hizo hela alikopa kwa nguvu bila idhini yangu) but amekaa huko hadi saa nne usiku ndiyo akarudi nyumbani.
Nimejaribu kumuuliza alikuwa wapi muda wote huo akaniambia hana majibu na nilipojaribu kuendelea kumuuliza kwa ukali akanijibu nimpe vitu vyake vyote aondoke akatafute pakukaa nami nikamjibu kwa kutumia akili ndogo chukua vitu vyako uende na akiondoka uache ufunguo kwa jirani.
Sasa hivi nimeondoka nimeenda job huku nikitafakari la kumfanya sipati majibu.
Naombeni msaada wazee wenzangu.
Naombeni msaada nimfanyaje huyu mke wangu.
Jana ameniaga anaenda town kupeleka hela mida ya jioni kwa mwanaume aliye mkopesha hela (hizo hela alikopa kwa nguvu bila idhini yangu) but amekaa huko hadi saa nne usiku ndiyo akarudi nyumbani.
Nimejaribu kumuuliza alikuwa wapi muda wote huo akaniambia hana majibu na nilipojaribu kuendelea kumuuliza kwa ukali akanijibu nimpe vitu vyake vyote aondoke akatafute pakukaa nami nikamjibu kwa kutumia akili ndogo chukua vitu vyako uende na akiondoka uache ufunguo kwa jirani.
Sasa hivi nimeondoka nimeenda job huku nikitafakari la kumfanya sipati majibu.
Naombeni msaada wazee wenzangu.