Mke wangu ana sura mbaya

Mke wangu ana sura mbaya

Think positive+ bro not negative- don't include our president in this a bit thing, think twice not once there for you can talk, you.... close you mouth,
 
umemchoka tu... wewe nani alie kuambia majirani wasemayo hua ni mazuri yenye kuitakia amani familia yako? by the way mwanaume ukisifiwa sifa km hiyo ujue kuna kitu anakihitaji kwa haraka ndio maana unapewa cfa fake hata km cjakuona weewe ni mbaya mpaka kwenye ubongo wako na maandishi yako hapa jf.
Nachukia sana watu wanao sifia mwanaume,et ni mzuri, mwa naume siku zote anatakiwa awe na Sura ngumu itakayo pambana na kazi, kuna wimbo Fulani Hivi unasema "wanaume tumeumbwa mateso, mateso kuangaika" sasa ukiwa na zura nzuri itakuletea uvivu hivyo uwezo wa kufanya kazi negative zero what is next, your family will face by the famine
Rais mwenyewe lugha inampiga chenga sembuse huyu??
 
Mimi naishi na mwanamke ambaye ana sura mbaya yaani unaona hata aibu kutoka nae out, watu wengi hasa wanawake wananisema mimi ni handsome sistahili kuwa na mke huyo, ila anaihudumia vizuri ananipa peace of mind japo ana kauvivu kidogo yaani anapenda kulala lala, hata kupunguza nyasi nyumbani hadi akodi kibarua. Hajui kubuni miradi, ila ni mvumilivu hanisumbui kwenye pesa. Ananilinda sana, yaani kama kuna watu nawadai anakomaa nao kisawasawa. Sifa hizo zimenifanya niishi nae hadi leo.
Ila sasa ana wivu balaa, yaani asione simu imepigwa kwangu au miss calls lazima ajue ni nani, na kama ni mwanamke lazima akomae nae kwa nn kanipigia.
Nikijaribu kutongoza michepuko huwa inanikatalia eti wanamuogopa mke wangu. Nimeweka password kwenye simu yangu naye kaweka, nashindwa kumchunguza kama kuna watu wanampiga mashine. Zamani alikuwa na marafiki wengi wa kiume kuliko wanawake yaani ni very social to mens than womens. Nashindwa kumsoma kabisa. Ila toka nimuoe mwaka 2003 hajawahi kunizingua katika suala la unyumba, yaani hata nikitaka 0713 anaweza nipa bila kulalama. Watoto anaonizalia, wanafanan naye. Nataka watoto wazuri kama mimi, baada ya kuzaa nae watoto wawili, sasa ana mimba tena ya mtoto wa tatu, namsikilizia.
tupia sura yake tukupe tathmin
 
Wa mkoani uyo we huoni anaandika "mens and womens" wakat ukizaliwa dsm ni form six
Kwa taarifa yenu watu wasio jua kusoma na kuandika, dar es Salaam ni wengi balaa, ukitaka kubaini mambo haya tembelea, institute of adult education, in dar Es Salaam, utapata, reports, nyingi zinazo, zungumzia maendeleo ya elimu ya watu wazima kila mkoa Tanzaniaukweli ni kwamba, drm wasio jua kusoma na kuandika, na ni wengi sema wanao ujanja wa mdomoni, sasa ungejua, usinge jisifia, kuwa dar Es Salaam wote ni form six sema, hujaelewa kuwa mtu kuitwa form six ina maana nyingi ya kwanza ni "mwanafunzi anaye soma high school", pili "mtu mjuaji" tatu "mwizi" nne , "mlaghai", tano "mhuni". Sasa tafadhali usijivunie kuwa na sifa chafu et kisa ww unaishi dar chonde chonde usilitumie tena jina la form six lita kuaibisha mkuu.
Wa mkoani uyo we huoni anaandika "mens and womens" wakat ukizaliwa dsm ni form six
 
Kwa taarifa yenu watu wasio jua kusoma na kuandika, dar es Salaam ni wengi balaa, ukitaka kubaini mambo haya tembelea, institute of adult education, in dar Es Salaam, utapata, reports, nyingi zinazo, zungumzia maendeleo ya elimu ya watu wazima kila mkoa Tanzaniaukweli ni kwamba, drm wasio jua kusoma na kuandika, na ni wengi sema wanao ujanja wa mdomoni, sasa ungejua, usinge jisifia, kuwa dar Es Salaam wote ni form six sema, hujaelewa kuwa mtu kuitwa form six ina maana nyingi ya kwanza ni "mwanafunzi anaye soma high school", pili "mtu mjuaji" tatu "mwizi" nne , "mlaghai", tano "mhuni". Sasa tafadhali usijivunie kuwa na sifa chafu et kisa ww unaishi dar chonde chonde usilitumie tena jina la form six lita kuaibisha mkuu.
Ninachoweza kusema,unapozungumzia Dsm basi unazungumzia Tanzania.
Huwezi kumkuta mtu "haswa"wa dsm anaandika "mens and womens".narudia tena ukizaliwa Dsm wewe ni form six.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] jaman ukimwelewesha we inatosha...au unapenda tu kuona comments zangu[emoji276]
Yaani nikiona comment yako mahali moyo wangu unakuwa kwatuuuuuuuu!!!......Sijui sasa nikiiona chura yako moyo wangu utakuwaje,huenda nikazimia kabisa![emoji23]
 
Jamaaaa anazingua aiseee, wakati unaanza nae uchumba ulikuwa unajua ni mbaya kama unavyosema na ukamuoa sasa kilichobadilika leo Mzee, ushauri wangu no kwamba acha kusikiliza mawazo ya majirani kuhusu uzuri au ubaya wa mkeo....
 
Acha kufuru broo! Hivi unazijua changamoto za waliooa warembo? Maana ya ndoa unaijua? Ushauri wangu mpende mkeo, mnunulie pamba na mafuta mazuri then kuanzia sasa anza kuongozana naye maana kesho yako huijui.
 
Back
Top Bottom