"Watoto anaonizalia, wanafanana naye. Nataka watoto wazuri kama mimi, baada ya kuzaa nae watoto wawili, sasa ana mimba tena ya mtoto wa tatu, namsikilizia."
Wonders shall never end...asiejua mana haambiwi maana...unapendwa hutaki unatafuta kutendwa...
By the way we ndo mtu wa kwanza kukisikia unasema watoto wako wabaya khaaaaaa kwa hiyo wakioa au kuolewa wafanyiwe haya unayomfanyia mama yao...na alokuambia mkioana wazuri nda watoto wanakua wazuri nan unaongea na muumba siku hz....
We ni externally controlled men u dnt deserve any woman at ur side...wajiona mzur sana huo uzuri wako umekusaidia nn tangu uzaliwe!?
unalaana,umelaaniwa kwa usodoma wako akili imekuruka ndo unaongea hovyo hovyo...km una miaka kumi ya ndoa bado una akili hz nawaonea huruma watoto wako....!
Bila shaka ww humtunzi mkeo na sio mbaya ila amekosa matunzo eti hakusumbui maswala ya pesa...mbahili tu ww unataka mpk mkeo akuombe hela....mtunze na muhudumie mkeo kam ulivokula kiapo uone km anaendelea kuwa mbaya
Kweli tuziombee sna hz ndoa siku hz mana kwa watu wa akili hz watoto wa mitaan hawataisha leo...mtu analala anaamka anataka kuvunja ndoa for stupid reason....infact for no reason km alivosema mdau mmoja subir wakugongee uone utakavoumia ndo utajua km mbaya au unzinz wako unakutia upofu....jirekebishe hutoshi kuitwa mume wala baba
Wonders shall never end...asiejua mana haambiwi maana...unapendwa hutaki unatafuta kutendwa...
By the way we ndo mtu wa kwanza kukisikia unasema watoto wako wabaya khaaaaaa kwa hiyo wakioa au kuolewa wafanyiwe haya unayomfanyia mama yao...na alokuambia mkioana wazuri nda watoto wanakua wazuri nan unaongea na muumba siku hz....
We ni externally controlled men u dnt deserve any woman at ur side...wajiona mzur sana huo uzuri wako umekusaidia nn tangu uzaliwe!?
unalaana,umelaaniwa kwa usodoma wako akili imekuruka ndo unaongea hovyo hovyo...km una miaka kumi ya ndoa bado una akili hz nawaonea huruma watoto wako....!
Bila shaka ww humtunzi mkeo na sio mbaya ila amekosa matunzo eti hakusumbui maswala ya pesa...mbahili tu ww unataka mpk mkeo akuombe hela....mtunze na muhudumie mkeo kam ulivokula kiapo uone km anaendelea kuwa mbaya
Kweli tuziombee sna hz ndoa siku hz mana kwa watu wa akili hz watoto wa mitaan hawataisha leo...mtu analala anaamka anataka kuvunja ndoa for stupid reason....infact for no reason km alivosema mdau mmoja subir wakugongee uone utakavoumia ndo utajua km mbaya au unzinz wako unakutia upofu....jirekebishe hutoshi kuitwa mume wala baba