Unambomolea ninii? Unaulizia location kupata uhakika?Bora ungeandika tuu kiswahili maana wingi wa man ni men na woman ni women.unasema ukitaka 0713 atakupa au huwa anakupa.kama anakupa hadi hiyo,baas mshukuru Mungu na uipige kweli kweli,hiv ndugu unakaa Tabata?
Daaàah.... Wanaruka na KukanyaganaNinacho wapendea wenye sura mbaya ni shape zao daaah View attachment 402339
This sounds like 'come and we stay, bless the marriage afterwards, mara nyingi ndoa hizi hubarikiwa baada ya misa ya kwanza zile misa za katikati ya wiki, mnatakiwa mashahidi wawili tu, baada ya hapo kila mtu anaendelea na hamsini zake.Kwi kwi kwi kwi kwi lol! Kwani uliwekewa bastola kichwani ili umuoe!? Ulitangaza ndoa mwenyewe na harusi ukaandaa na kuhudhuria. Acha hizo banaaa na siku zote kumbuka kabla hujafa hujaumbwa.
[emoji87] [emoji87]Chura je??? Anae???
This sounds like 'come and we stay, bless the marriage afterwards, mara nyingi ndoa hizi hubarikiwa baada ya misa ya kwanza zile misa za katikati ya wiki, mnatakiwa mashahidi wawili tu, baada ya hapo kila mtu anaendelea na hamsini zake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aiseeeeeh!!!Kipindi cha kukojoa nje ni sasa kuzuia mimba zisizotarajiwa...yaani najiona mi mbegu yangu inashikisha mimba balaa
Hiyo ni tigo... yaan ana kula kinyeoMm sina cha kukushauri, ila naomb mnijuze maana ya 0713 na namba nyingine huwa mnamanisha nn?
Hahaha kipitisha kinyesiHiyo ni tigo... yaan ana kula kinyeo
Sjui ndo nini iyo si bora ungeandika kiswahili tuMimi naishi na mwanamke ambaye ana sura mbaya yaani unaona hata aibu kutoka nae out, watu wengi hasa wanawake wananisema mimi ni handsome sistahili kuwa na mke huyo, ila anaihudumia vizuri ananipa peace of mind japo ana kauvivu kidogo yaani anapenda kulala lala, hata kupunguza nyasi nyumbani hadi akodi kibarua. Hajui kubuni miradi, ila ni mvumilivu hanisumbui kwenye pesa. Ananilinda sana, yaani kama kuna watu nawadai anakomaa nao kisawasawa. Sifa hizo zimenifanya niishi nae hadi leo.
Ila sasa ana wivu balaa, yaani asione simu imepigwa kwangu au miss calls lazima ajue ni nani, na kama ni mwanamke lazima akomae nae kwa nn kanipigia.
Nikijaribu kutongoza michepuko huwa inanikatalia eti wanamuogopa mke wangu. Nimeweka password kwenye simu yangu naye kaweka, nashindwa kumchunguza kama kuna watu wanampiga mashine. Zamani alikuwa na marafiki wengi wa kiume kuliko wanawake yaani ni very social to mens than womens. Nashindwa kumsoma kabisa. Ila toka nimuoe mwaka 2003 hajawahi kunizingua katika suala la unyumba, yaani hata nikitaka 0713 anaweza nipa bila kulalama. Watoto anaonizalia, wanafanan naye. Nataka watoto wazuri kama mimi, baada ya kuzaa nae watoto wawili, sasa ana mimba tena ya mtoto wa tatu, namsikilizia.
Mmmh akija uyo kafanana na mama nahisi utatamani upeleke dar zooMimi naishi na mwanamke ambaye ana sura mbaya yaani unaona hata aibu kutoka nae out, watu wengi hasa wanawake wananisema mimi ni handsome sistahili kuwa na mke huyo, ila anaihudumia vizuri ananipa peace of mind japo ana kauvivu kidogo yaani anapenda kulala lala, hata kupunguza nyasi nyumbani hadi akodi kibarua. Hajui kubuni miradi, ila ni mvumilivu hanisumbui kwenye pesa. Ananilinda sana, yaani kama kuna watu nawadai anakomaa nao kisawasawa. Sifa hizo zimenifanya niishi nae hadi leo.
Ila sasa ana wivu balaa, yaani asione simu imepigwa kwangu au miss calls lazima ajue ni nani, na kama ni mwanamke lazima akomae nae kwa nn kanipigia.
Nikijaribu kutongoza michepuko huwa inanikatalia eti wanamuogopa mke wangu. Nimeweka password kwenye simu yangu naye kaweka, nashindwa kumchunguza kama kuna watu wanampiga mashine. Zamani alikuwa na marafiki wengi wa kiume kuliko wanawake yaani ni very social to mens than womens. Nashindwa kumsoma kabisa. Ila toka nimuoe mwaka 2003 hajawahi kunizingua katika suala la unyumba, yaani hata nikitaka 0713 anaweza nipa bila kulalama. Watoto anaonizalia, wanafanan naye. Nataka watoto wazuri kama mimi, baada ya kuzaa nae watoto wawili, sasa ana mimba tena ya mtoto wa tatu, namsikilizia.
Kwaiyo lugha ya mimbegu ni dhahiri mtoa mada ni mwehu tuu kaja kuchekesha jukwaa hana ukweliKipindi cha kukojoa nje ni sasa kuzuia mimba zisizotarajiwa...yaani najiona mi mbegu yangu inashikisha mimba balaa
Sura mbaya wanawake ni watamuMimi naishi na mwanamke ambaye ana sura mbaya yaani unaona hata aibu kutoka nae out, watu wengi hasa wanawake wananisema mimi ni handsome sistahili kuwa na mke huyo, ila anaihudumia vizuri ananipa peace of mind japo ana kauvivu kidogo yaani anapenda kulala lala, hata kupunguza nyasi nyumbani hadi akodi kibarua. Hajui kubuni miradi, ila ni mvumilivu hanisumbui kwenye pesa. Ananilinda sana, yaani kama kuna watu nawadai anakomaa nao kisawasawa. Sifa hizo zimenifanya niishi nae hadi leo.
Ila sasa ana wivu balaa, yaani asione simu imepigwa kwangu au miss calls lazima ajue ni nani, na kama ni mwanamke lazima akomae nae kwa nn kanipigia.
Nikijaribu kutongoza michepuko huwa inanikatalia eti wanamuogopa mke wangu. Nimeweka password kwenye simu yangu naye kaweka, nashindwa kumchunguza kama kuna watu wanampiga mashine. Zamani alikuwa na marafiki wengi wa kiume kuliko wanawake yaani ni very social to mens than womens. Nashindwa kumsoma kabisa. Ila toka nimuoe mwaka 2003 hajawahi kunizingua katika suala la unyumba, yaani hata nikitaka 0713 anaweza nipa bila kulalama. Watoto anaonizalia, wanafanan naye. Nataka watoto wazuri kama mimi, baada ya kuzaa nae watoto wawili, sasa ana mimba tena ya mtoto wa tatu, namsikilizia.