Mke wangu ana sura mbaya

Mke wangu ana sura mbaya

Yaani kuanzia 2003 Leo ndo unamuona ana sura mbaya duh! Naomba utupie kapicha kake na kako tujadili vizuri.
 
Sura mbaya wakati unamuoa hukuiona? Acha kukosoa uumbaji wa Mwenyezi Mungu.
*A woman with a beautiful body is good for the night, but a woman with the best mindset is good for a lifetime *
"ibrak"
 
Acheni mambo yenu bhana...habari za kusema ''uzuri wa mwanamke sio sura ni tabia'' mimi siukubali...mwanamke awe na reception ya kuvutia angalau ukimuona maudhi ya kazin yote unasahau...sio mwanamke anakutisha ka ibirisi mtoa roho.
 
we zezeta tena huyo mkeo anakutiri uzezeta wako,hamna mwanamke timamu anaweza kukukubali ww ndo mana wanakukataa bado una akili za mtoto mjinga
 
Kweli wanaume wanapungua wanabaki wavulana tu kama wewe mtoa mada, kwa hiyo hapa unataka ushauri wa nini? Ila wanapotokea watoto ni pazuri, eti ukimuomba hata naniliuu anakupa bila kulalama kwa hiyo unachezea uchafu
 
Mimi naishi na mwanamke ambaye ana sura mbaya yaani unaona hata aibu kutoka nae out, watu wengi hasa wanawake wananisema mimi ni handsome sistahili kuwa na mke huyo, ila anaihudumia vizuri ananipa peace of mind japo ana kauvivu kidogo yaani anapenda kulala lala, hata kupunguza nyasi nyumbani hadi akodi kibarua. Hajui kubuni miradi, ila ni mvumilivu hanisumbui kwenye pesa. Ananilinda sana, yaani kama kuna watu nawadai anakomaa nao kisawasawa. Sifa hizo zimenifanya niishi nae hadi leo.
Ila sasa ana wivu balaa, yaani asione simu imepigwa kwangu au miss calls lazima ajue ni nani, na kama ni mwanamke lazima akomae nae kwa nn kanipigia.
Nikijaribu kutongoza michepuko huwa inanikatalia eti wanamuogopa mke wangu. Nimeweka password kwenye simu yangu naye kaweka, nashindwa kumchunguza kama kuna watu wanampiga mashine. Zamani alikuwa na marafiki wengi wa kiume kuliko wanawake yaani ni very social to mens than womens. Nashindwa kumsoma kabisa. Ila toka nimuoe mwaka 2003 hajawahi kunizingua katika suala la unyumba, yaani hata nikitaka 0713 anaweza nipa bila kulalama. Watoto anaonizalia, wanafanan naye. Nataka watoto wazuri kama mimi, baada ya kuzaa nae watoto wawili, sasa ana mimba tena ya mtoto wa tatu, namsikilizia.
Kwan mpk anakuw mkeo wwe hkuliona hilo!!!???
 
umemchoka tu... wewe nani alie kuambia majirani wasemayo hua ni mazuri yenye kuitakia amani familia yako? by the way mwanaume ukisifiwa sifa km hiyo ujue kuna kitu anakihitaji kwa haraka ndio maana unapewa cfa fake hata km cjakuona weewe ni mbaya mpaka kwenye ubongo wako na maandishi yako hapa jf.
 
Mimi naishi na mwanamke ambaye ana sura mbaya yaani unaona hata aibu kutoka nae out, watu wengi hasa wanawake wananisema mimi ni handsome sistahili kuwa na mke huyo, ila anaihudumia vizuri ananipa peace of mind japo ana kauvivu kidogo yaani anapenda kulala lala, hata kupunguza nyasi nyumbani hadi akodi kibarua. Hajui kubuni miradi, ila ni mvumilivu hanisumbui kwenye pesa. Ananilinda sana, yaani kama kuna watu nawadai anakomaa nao kisawasawa. Sifa hizo zimenifanya niishi nae hadi leo.
Ila sasa ana wivu balaa, yaani asione simu imepigwa kwangu au miss calls lazima ajue ni nani, na kama ni mwanamke lazima akomae nae kwa nn kanipigia.
Nikijaribu kutongoza michepuko huwa inanikatalia eti wanamuogopa mke wangu. Nimeweka password kwenye simu yangu naye kaweka, nashindwa kumchunguza kama kuna watu wanampiga mashine. Zamani alikuwa na marafiki wengi wa kiume kuliko wanawake yaani ni very social to mens than womens. Nashindwa kumsoma kabisa. Ila toka nimuoe mwaka 2003 hajawahi kunizingua katika suala la unyumba, yaani hata nikitaka 0713 anaweza nipa bila kulalama. Watoto anaonizalia, wanafanan naye. Nataka watoto wazuri kama mimi, baada ya kuzaa nae watoto wawili, sasa ana mimba tena ya mtoto wa tatu, namsikilizia.
Ulishachagua huna uhuru tena
 
Ndio chaguo lako.chaguo la moyo na jicho lako.au alikuletea shangazi yako? Usimwangalie usoni .ishi nae kwa assumption kuwa ni malikia wa uzuri na uconcentrate na kale kakitu kalikokufanye umchukue hiyo 2003.!
 
Back
Top Bottom